pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
Nimeshangaa Sana kuona mahojiano ya naibu waziri waa afya akiwasema wataalamu wa maabara kuwa wanatoa majibu ya uongo pia na madaktari alikosoa prescription ya dawa zao. Huu mtazamo Ni potofu na unarudisha nyuma juhudi zinafanywa kushawishi wananchi kwenda hospitali
Haingii akilini waziri mwenye dhamana anapoanza kulalamika alafu inaonyesha hajui uhalisia uliopo kwenye hospitali zake. Kama anaona tatizo na a haja ya media ni kurekebisha kwa sera na utendaji na kuwasimamia vizuri waliochini yake
Labda nianze kwa kuelezea kipimo Cha typhoid
Typhoid inaweza kupimwa kwa vipimo vingi lakini vifuatavyo ndio rahisi vinatumika hapa nchini kwetu
Mgonjwa au daktari akiomba uchunguzi wa typhoid maabara hufanya hivi
Kwa watamfanyia widal test
Hii widal iko makundi mawili
1.slide agutinagion
2. Titration ambayo huchukua reagent nyingi
Kwa uelewa wa kawaida huwa wanaanza slide agutinagion kama screening test alafu ukipata positive unaendelea n titration ambayo unatakiwa kusubiri hadi masaa 24. Kama kwenye slide agglutinagion ni negative mgonjwa hana haja ya kusubiri kesho majibu
Kipimo cha pili ni kwa baadhi ya hospitali hasa za rufaa
kuwaotesha wadudu kama wapo kwenye damu (blood culture) na kuangalia uwepo wao kwenye kinyesi kama agglutinagion imekuwa positive. Kuotesha wadudu kwa kutumia kinyesi inaweza kufanyika baadhi ya hospitali pia
Uotaji wa wadudu hawa kwenye vyakula tulivyopandikiza hutegemea kama mgonjwa hajatumia dawa. wagonjwa wetu wengi huja wakiwa wametumia dawa.
Waziri anaposema maabara wanakuja na majibu yasiyo ya kweli awe na ushahidi wa tafiti na sio hisia tu.
Alizungumzia mambo ya homa za virusi. hakutakiwa kutuhumu ili kumake point yake
Lakini pia akumbuke yeye ni mtu wa sera. Ni hekima angewasilina na katibu ili kurekebisha shida iliyopo kama utafiti umefanyika
Pia alizungumzia mambo ya UTI. Mimi sipendi kuongea vitu visivyo na uhakika.wewe ni waziri fanya utafiti na njoo na majibu.
Kuingiza siasa kwenye afya ni kuua afya.
Pia zipo taratibu za kurekebisha mambo na sio njia ya kutafuta populality
Nakubali kuwa yeye ni miongoni microbiologist lakini pia najua hajui kila kitu na mbaya zaidi ameacha taaluma na kwenda kwenye siasa. Inawezekana ukabaki na jina la taaluma alafu usi practice taaluma hiyo.
Tunahitaji viongozi wanaotoa uongozi yakinifu na kutatua matatizo ya kijamii.
Leo unasema maabara wanatoa majibu ya uongo kwenye media unategemea wananchi waende hospitali kupima?.
Ni vyema kujua nafasi yako na madhara ya maneno yako kwa wananchi na mfuumo mzima
Kama tatizo lipo waziri tumia wataalam wako kuyatatua. Lugha kama hizo sio afya kwa jamii
Asanteni
Haingii akilini waziri mwenye dhamana anapoanza kulalamika alafu inaonyesha hajui uhalisia uliopo kwenye hospitali zake. Kama anaona tatizo na a haja ya media ni kurekebisha kwa sera na utendaji na kuwasimamia vizuri waliochini yake
Labda nianze kwa kuelezea kipimo Cha typhoid
Typhoid inaweza kupimwa kwa vipimo vingi lakini vifuatavyo ndio rahisi vinatumika hapa nchini kwetu
Mgonjwa au daktari akiomba uchunguzi wa typhoid maabara hufanya hivi
Kwa watamfanyia widal test
Hii widal iko makundi mawili
1.slide agutinagion
2. Titration ambayo huchukua reagent nyingi
Kwa uelewa wa kawaida huwa wanaanza slide agutinagion kama screening test alafu ukipata positive unaendelea n titration ambayo unatakiwa kusubiri hadi masaa 24. Kama kwenye slide agglutinagion ni negative mgonjwa hana haja ya kusubiri kesho majibu
Kipimo cha pili ni kwa baadhi ya hospitali hasa za rufaa
kuwaotesha wadudu kama wapo kwenye damu (blood culture) na kuangalia uwepo wao kwenye kinyesi kama agglutinagion imekuwa positive. Kuotesha wadudu kwa kutumia kinyesi inaweza kufanyika baadhi ya hospitali pia
Uotaji wa wadudu hawa kwenye vyakula tulivyopandikiza hutegemea kama mgonjwa hajatumia dawa. wagonjwa wetu wengi huja wakiwa wametumia dawa.
Waziri anaposema maabara wanakuja na majibu yasiyo ya kweli awe na ushahidi wa tafiti na sio hisia tu.
Alizungumzia mambo ya homa za virusi. hakutakiwa kutuhumu ili kumake point yake
Lakini pia akumbuke yeye ni mtu wa sera. Ni hekima angewasilina na katibu ili kurekebisha shida iliyopo kama utafiti umefanyika
Pia alizungumzia mambo ya UTI. Mimi sipendi kuongea vitu visivyo na uhakika.wewe ni waziri fanya utafiti na njoo na majibu.
Kuingiza siasa kwenye afya ni kuua afya.
Pia zipo taratibu za kurekebisha mambo na sio njia ya kutafuta populality
Nakubali kuwa yeye ni miongoni microbiologist lakini pia najua hajui kila kitu na mbaya zaidi ameacha taaluma na kwenda kwenye siasa. Inawezekana ukabaki na jina la taaluma alafu usi practice taaluma hiyo.
Tunahitaji viongozi wanaotoa uongozi yakinifu na kutatua matatizo ya kijamii.
Leo unasema maabara wanatoa majibu ya uongo kwenye media unategemea wananchi waende hospitali kupima?.
Ni vyema kujua nafasi yako na madhara ya maneno yako kwa wananchi na mfuumo mzima
Kama tatizo lipo waziri tumia wataalam wako kuyatatua. Lugha kama hizo sio afya kwa jamii
Asanteni