Mleta mada ana master's sasa kuna Jambo nafikiria kama yule prof utopolo kabugi alitokea jalalani sasa huyu mleta mada anataka aletwe uongozini nadhani kutoka kwenye septic tank yaani sasa hivi anaogelea kwenye uji wa divi a.k.a slurry (ubwalando) akitoa ushirikiano mkubwa na decomposers eg. Mlyagadodile suringiensis.
Nimeandika hivyo kwa 7bu watu wengi wenye elimu uchwara kama mleta mada kazi kubwa ni kunusa fursa kama alivyo mbwa koko (Stray dog) hana ubavu wa kujiajiri kazi ni kufagilia uongozi ili akumbukwe ndo maana kila anapotupia mada humu lazima aweke namba ya simu na kiwango cha elimu.
Anadhani dodo alilookota Msumi chini ya mwarobaini na kuwa DAS kule Kisarawe aliyeulizwa elimu akasema ana Master's in Public Administration litamdondokea, yupo radhi kufumbia hata mauaji alimradi asimkwaze ila amfurahishe mkulu, watu kama mleta mada wakiteuliwa (God forbid) ndo huacha vichwa nyumbani yanakuwa kama nyati alefungwa nila, hata akiambiwa kaweke sumu mto tigite linachukua bila hata kuwa na hofu ya Mungu.
Madhila mengi yalowakumba wataalamu wabobezi eg. Leopold Lwajabe alepokwa haki yake ya kuishi ni matokeo ya akili chafu za kujipendekeza na kujikomba Kwa wakubwa kama za mleta mada.
Nakupa pole mleta mada kwmba nenda Kwa Bibi yako ukaanzishe kilimo cha mapapai kuhusu uteuzi ccm ina wenyewe otherwise utumike kama zana kisha wakuteme acha kujipendekeza mtoto wa kiume.
Nimeandika hivyo kwa 7bu watu wengi wenye elimu uchwara kama mleta mada kazi kubwa ni kunusa fursa kama alivyo mbwa koko (Stray dog) hana ubavu wa kujiajiri kazi ni kufagilia uongozi ili akumbukwe ndo maana kila anapotupia mada humu lazima aweke namba ya simu na kiwango cha elimu.
Anadhani dodo alilookota Msumi chini ya mwarobaini na kuwa DAS kule Kisarawe aliyeulizwa elimu akasema ana Master's in Public Administration litamdondokea, yupo radhi kufumbia hata mauaji alimradi asimkwaze ila amfurahishe mkulu, watu kama mleta mada wakiteuliwa (God forbid) ndo huacha vichwa nyumbani yanakuwa kama nyati alefungwa nila, hata akiambiwa kaweke sumu mto tigite linachukua bila hata kuwa na hofu ya Mungu.
Madhila mengi yalowakumba wataalamu wabobezi eg. Leopold Lwajabe alepokwa haki yake ya kuishi ni matokeo ya akili chafu za kujipendekeza na kujikomba Kwa wakubwa kama za mleta mada.
Nakupa pole mleta mada kwmba nenda Kwa Bibi yako ukaanzishe kilimo cha mapapai kuhusu uteuzi ccm ina wenyewe otherwise utumike kama zana kisha wakuteme acha kujipendekeza mtoto wa kiume.