Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,171
Mi si mtaalamu wa mpangilio wa sauti kwenye muziki, ila nikisikiliza huu wimbo, naona umepangiliwa vizuri na hauchoshi kuusikiliza; najikuta mara kwa mara naurudia tu.
Hauchoshi kusikilizaMbona kawaida?
Uko vizuri,hauchoshi kusikiliza na hauna fujo fujoWimbo murua kabisa wa mineso ya kikatoliki.