Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,266
Anahitaji mchanganuo au kuongezewa mtaji?!
Sasa mkuuMkuu njoo tu bet kwa muhindi.. tukitumia laki 3tu kati ya hiyo laki 5 unauhakika wa kupata milioni kumi.. unataka nini tena utajiri sindio huo
Wazo zuritafuta nguo za kike na urembo wowote unaowahusu wanawake bila kusahau perfums,lotions na creams alafu cha muhimu zaid tafuta spot nzuri ya biashara iyo, yani hakikisha wakipitia njia wanaiona biashara yako
wanawake wanasoko sana na mahitaji yao na kwa hela yako nadhani unaweza kuanza pazuri tu!
PoapoaMkuu ukifungua hiyo biashara leta mrejesho ntakuja kukuungisha me pia mkazi wa maeneo hayo
*MchanganuoFanya biasharA ya asali mkuu.
Haina shidaUsisahau kurudisha mrejesho
****Now ipo 700000
Nahitaji mawazo yenu zaidi
Uko vizuri sana unaushauri mzuri hongeraFanya hivi
Kodi frem elf 50 mara 6 = lak 3
Lak mbili zilizobaki elfu 50 nunua vifaa vya kupikia jiko,sufuria, sahani nk
Elf 50 fanya mtaji wa chakula
Elf 50 mshahara wa kwanza wa mama ntilie atakaye simamia biashara yako
Elf 50 iliyobaki fanya mtaji wa maziwa/ juisi katika biashara yako
Hahaha****
kama inakua ikuze hivyo hivyo...
Kitaani kila nyumba ina gengeFungua genge
Dah.... Mwaka mmoja nyuma hiyo pesa ilikuwa ya kubetia kwa kijana wa form2......Lakini leo anakuja mtu na ndevu zake anaomba ushauri wa kuwekeza.... Asante JPM utaeleweka tuHeshima kwenu wakuu
Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
Dah...huu ni ulanguzi sasa....ni sawa na utapeli tu. Ndiyo maana safari yetu inakuwa ngumu kwa sababu ya watu kama nyieSawa mkuu
Ila nahotaji Biashara ambayo situmii nguvu
Yaani ninunue vitu halafu niuze tu bila processing
Uko vizuri sana unaushauri mzuri hongera
Tena unless una eneo ambalo hutalipia vinginevyo hiyo laki 5 haitoshi hata kodi ya miezi 6 tena eneo la kawaida tu... nazungumzia Dar; labda mikoani!Banda la chips minimum siyo chini ya mtaji wa laki 5 hapo ni pembeni na pango
No pm namba yako nataka hiyo biasharaKama waweza distribute tufanye biashara.. Ni wale dagaa safi,hawana nchanga,ambao wameshapikwa na viungo na chumvi,waweza kunywea chai,kwenye supermarket wanauza mpaka buku mbili jelo.
huanikwa kwenye vichanja tumewaweka katika vifungashio.
nisaidie na mm ni ke nina mtaji wa 2lakiWewe ni me au me
Nijibu hapo kwanza nikupe njia iliyonitoa Mimi kwa mtaji huo