Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Heshima kwenu wakuu
Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
Fanya biashara ya viatu vya bei rahisi kama vile yebo yebo viatu vya bei rahisi vya kina Dada , nenda kariakoo kanunue kwenye maduka ya jumla ni buku sita tu we unauza buku teni hadi elfu kumi na moja, mtu akija na buku nane au buku tisa chekua pesa, hiyo biashara huhitaji frem unamwaga chini tu kule kariakoo maana sasa hivi mgambo hawasumbui tena mkuu, ukifanya hiyo biashara lazima mtaji utakua na naamini utatoka, chamsingi uwe na heshima na pesa. Ni hayo tu mkuu
 
Nakushauri, tafuta sehemu iliyochangamka sana weka genge lako. Nenda soko la buguruni nunua bidhaa za gengeni, vitu ambavyo huwa vinawahi kuharibika usichukue kwa wingi ila ziweke uanze biashara. Genge lako waweza kujenga kwa mbao na miti na maboksi yale makubwa. Mtangulize Mungu ktk kazi hiyo utafanikiwa

Mkuu hongera kwa kutoa michango mzuri bila Shaka unaelewa biashara za masokoni vizuri.
Mimi najihusisha na utayarishaji wa dagaa safi wa kukaanga toka kanda ya ziwa natafuta wauzaji wa jumla watakaochukua wengi kwa wakati mmoja kama debe 10 kuendelea.

Sababu ya bei yangu kuwa ya chini zaidi nauza debe elfu 35,000 kawaida huuzwa elfu 50 na kuendelea hivyo kama unajua mtu au unataka anayejihusisha na kuuza dagaa hawa naomba uniunganishe nae Tafadhali.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Fanya hivi

Kodi frem elf 50 mara 6 = lak 3

Lak mbili zilizobaki elfu 50 nunua vifaa vya kupikia jiko,sufuria, sahani nk


Elf 50 fanya mtaji wa chakula
Elf 50 mshahara wa kwanza wa mama ntilie atakaye simamia biashara yako


Elf 50 iliyobaki fanya mtaji wa maziwa/ juisi katika biashara yako
 
jiunge helping hands international na ujitolee kushawishi wengine na wao washawishi wengine inaweza ikaonekana inachukua muda lakini inalipa na ni gharama kidogo tu 90000 elfu tu kama unataka call me +255752367766
 
Fanya hivi

Kodi frem elf 50 mara 6 = lak 3

Lak mbili zilizobaki elfu 50 nunua vifaa vya kupikia jiko,sufuria, sahani nk


Elf 50 fanya mtaji wa chakula
Elf 50 mshahara wa kwanza wa mama ntilie atakaye simamia biashara yako


Elf 50 iliyobaki fanya mtaji wa maziwa/ juisi katika biashara yako

Hapo kwenye vifaa elf 50 ni ndogo..huwezi pata sahani vikombe vijiko glass majiko sufuria chupa meza mabenchi au viti taa za kuchaji kama huna umeme nk..
 
Fanya hivi

Kodi frem elf 50 mara 6 = lak 3

Lak mbili zilizobaki elfu 50 nunua vifaa vya kupikia jiko,sufuria, sahani nk


Elf 50 fanya mtaji wa chakula
Elf 50 mshahara wa kwanza wa mama ntilie atakaye simamia biashara yako


Elf 50 iliyobaki fanya mtaji wa maziwa/ juisi katika biashara yako
Ahsante kwa ushauri
 
  • Thanks
Reactions: Apu
jiunge helping hands international na ujitolee kushawishi wengine na wao washawishi wengine inaweza ikaonekana inachukua muda lakini inalipa na ni gharama kidogo tu 90000 elfu tu kama unataka call me +255752367766
Ok
 
Heshima kwenu wakuu
Nina laki tano nataka kuanzisha Biashara..naogopa kukurupuka
Wazoefu nisaidieni je naweza kuanzisha Biashara gani ikalipa?
Naishi Mburahati
Nenda kisutu sokoni pale, nunua vichwa vya kuku na miguu ya kuku. Vikaange hivyo vichwa,miguu na viazi mviringo pembeni. Tengeneza chachandu matata sana ya pilipili.... Weka meza kubwa sehemu ya uswazi huko mburahati kwenye watu wengi na taa kubwa la mchina la kuchaji.... Huku karedio pembeni kanaimba Nyimbo za kina msaga sumu na manfongo.... Mburahati ni uswazi tu... Utawabamba sana usawa huu wa bro magu....
 
Nenda kisutu sokoni pale, nunua vichwa vya kuku na miguu ya kuku. Vikaange hivyo vichwa,miguu na viazi mviringo pembeni. Tengeneza chachandu matata sana ya pilipili.... Weka meza kubwa sehemu ya uswazi huko mburahati kwenye watu wengi na taa kubwa la mchina la kuchaji.... Huku karedio pembeni kanaimba Nyimbo za kina msaga sumu na manfongo.... Mburahati ni uswazi tu... Utawabamba sana usawa huu wa bro magu....
Sawa mkuu
Ila nahotaji Biashara ambayo situmii nguvu
Yaani ninunue vitu halafu niuze tu bila processing
 
Back
Top Bottom