Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari wana jf,kwanza kabsa naandika uzi huu nikiwa na imani kwamba jf ni sehemu ambapo naweza kupata majibu ya busara na hekima na sio dharau na mizaha.back 2 da point,nina sh.laki moja hapa nlpo,na nmemalza form six na sina kibarua,bt nategemea km nitachaguliwa nitaenda chuo bt nna hakika mkopo kwangu unaweza kuwa ndoto due to my points,so nilikuwa nataka nikazungushe haka ka hela ili kaongezeke.Natanguliza shukran...jf 4ever.
Biashara ya tumbo (chakula) ndio rahisi na inalipa chapchap.......mwisho wa siku jua linapozama unakuwa umejua mzunguko wako. Kwa kuanzia badala ya kuanza ku-invest kwenye capital expenditure, nakushauri tafuta mtu ambaye tayari anafanya biashara then ongea nae kama unaweza kuchangia mtaji halafu faida mgawane pasu kwa kipindi fulani cha mpito. Mfano cheki hawa jamaa wauza mihogo, maji, madafu, samaki, karanga, vitumbua, chapati, miwa, mahindi ya kuchoma nk mtaji wao kwa siku wengi huwa hauziki elfu hamsini. Kuwa mjanja kudadisi wanavyofanya biashara then ingiza wazo la kuongeza mtaji, then atakayekubali hapo utakuwa mwanzo wa kuzungusha hiyo laki kabla hujaimaliza kwa mama ntilie
 
Biashara ya tumbo (chakula) ndio rahisi na inalipa chapchap.......mwisho wa siku jua linapozama unakuwa umejua mzunguko wako. Kwa kuanzia badala ya kuanza ku-invest kwenye capital expenditure, nakushauri tafuta mtu ambaye tayari anafanya biashara then ongea nae kama unaweza kuchangia mtaji halafu faida mgawane pasu kwa kipindi fulani cha mpito. Mfano cheki hawa jamaa wauza mihogo, maji, madafu, samaki, karanga, vitumbua, chapati, miwa, mahindi ya kuchoma nk mtaji wao kwa siku wengi huwa hauziki elfu hamsini. Kuwa mjanja kudadisi wanavyofanya biashara then ingiza wazo la kuongeza mtaji, then atakayekubali hapo utakuwa mwanzo wa kuzungusha hiyo laki kabla hujaimaliza kwa mama ntilie

ntalifanyia kazi mkuu
 
mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza ruaha university (ruco) iringa mjini, naomba ushauri wakubwa nifanye biashara gani niko serious ktk hili nina laki 5 ya uhakika, likizo huwa nakuepo dar, nilifikiria kufanya biashara ya nguo bt ckupata washaur wazur na sehemu ya kupatia mzigo, so nko tayar kwa ushaur abt any pocblbe business.
 
mi nafanya biashara ya mkaa,join na mimi nikuletee,uuze au umweke mtu auze,kama huwezi nanunua mzigo nakulllllllllletea unauuza kkwea jumla,Mkaa mpaka ufike hapa unakuwa umecost 28000 per bag,Ukiuza hapa dar unauza kwa tsh 37000 per bag,hiyo ni whole sale,,,,retail ni 40000 up to 45000 per bag,,nina kibali kabisa,,,Au kama uko ruaha tafuta shamba kama heka moja,lima vitunguu.Lima kwa kisasa,heka moja ukitumia vibarua na ni umwagiliaji unapata bag 50 mpaka 90 or 100 bag,,ukiuza kila bag sh 60000,unapata kuanzia 3m ,5m to 6m,,hiyo ni ndani ya miezi mitatu,,unakua umevuna
 
unaweza pia kuuza maji baridi barabarani,au kukaanga vitumbua kwenye stend za daladala mida ya jioni,na tangawizi.mtaji unatosha huo


mkuu kuhusu suala la maji nakubaliana na wewe kama yupo dar nakumbuka nilikuwa nasoma chuo cha fedha wakati naingia mwaka wa kwanza kuna kijana alikuwa anauza maji katokea kijijini pande za kilimanjaro alipewa mtaji wa sh 10000 huwezi amini vijana tulikuwa tunamuona kila siku jioni anauza maji na sigara tunaona mzaha tu ila wakati nakaribia kumaliza mwaka wa tatu jamaa alikuwa ameshanunua boda boda mbili na mtaji wa maji umeongezeka na alikuwa ameshawaleta vijana wengine kutoka moshi wamsaidie kazi zake na nyumba alikuwa ameanza kujenga huko kijijini na mpka sasa nafikiri bado yupo na ameweka msimamizi ana biashara nyingine pande za tegeta ila ina hitaji nidhamu kubwa ya kutunza pesa na matumizi yako lazima uyaheshimu huyu ana laki moja kama yupo serious akiamua kuanzisha biashara ya maji na wala sio kutembeza atafute tu eneo ambalo watu wengi wanapendelea kukusanyika hakika atatoka mbaya
 
mkuu kuhusu suala la maji nakubaliana na wewe kama yupo dar nakumbuka nilikuwa nasoma chuo cha fedha wakati naingia mwaka wa kwanza kuna kijana alikuwa anauza maji katokea kijijini pande za kilimanjaro alipewa mtaji wa sh 10000 huwezi amini vijana tulikuwa tunamuona kila siku jioni anauza maji na sigara tunaona mzaha tu ila wakati nakaribia kumaliza mwaka wa tatu jamaa alikuwa ameshanunua boda boda mbili na mtaji wa maji umeongezeka na alikuwa ameshawaleta vijana wengine kutoka moshi wamsaidie kazi zake na nyumba alikuwa ameanza kujenga huko kijijini na mpka sasa nafikiri bado yupo na ameweka msimamizi ana biashara nyingine pande za tegeta ila ina hitaji nidhamu kubwa ya kutunza pesa na matumizi yako lazima uyaheshimu huyu ana laki moja kama yupo serious akiamua kuanzisha biashara ya maji na wala sio kutembeza atafute tu eneo ambalo watu wengi wanapendelea kukusanyika hakika atatoka mbaya

mkuu umesema vzuri,by nw niko geita japo kwa mda xo kwa time hii nmeona nckae bure ndo maana nataka kuizungusha,kuhusu maji nmewaza kuuza maj ya viroba na ya bakhresa kwa kuwapa watu wauze then nawalpa,unaonaje hyo.maeneo ya manzese na mabibo
 
mkuu umesema vzuri,by nw niko geita japo kwa mda xo kwa time hii nmeona nckae bure ndo maana nataka kuizungusha,kuhusu maji nmewaza kuuza maj ya viroba na ya bakhresa kwa kuwapa watu wauze then nawalpa,unaonaje hyo.maeneo ya manzese na mabibo

maeneo hayo ni mazuri maana kuna mzunguko wa watu na vile vile maji ni hitaji muhimu ila uangalie vijana ambao ni waaminifu maaana nao wanaweza kukuibia na uwe karibu nao kujua kinachoendelea na sio kukaa tu nyumbani bila kujua kinachoendelea kwenye biashara na matumizi yako yadhibit kwa kiasi kikubwa. kila la kheri
 
apo geita , nafac karib na mgodn fanya colabo na m2 anayefany biashara ya msoc fanya patnaship nay kwny biashara y msos
 
pia kama upo karibu mgod piga iyo biashara ya chakula na uweke bidhaa nyingine kama sabuni,maji na ma2nda
 
alafu apo geita si kuna mananas mengi? kama ndiyo fanya konekshen na wa2 wa dar uwe unasafirisha kwenda dsm!
 
Back
Top Bottom