cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Chips mkuu inatakiwa. Vitu HV.kabat la alminium.jiko la kukangia la kuchomea mishkaki.bado karai.bado sahani.ujawwka ma meza uchwara
Tafta 400k nikupatie Vyombo vyote vya chips yan kinachobakia kwako ni site na mtaji wa kuanzia ambao ata lk haiish
Shukuran mkuuUza mkaa nunua viroba vya mkaa kwa bei ya jumla unaviuza kwa reja reja au kuvifunga kwenye vifuko
Au fungua genge la mboga mboga
Angalia mini inataka jamii yako mzee
Habari. Nina kama 1M nataka niigawe Mara 10 halafu niwape vijana wawe wanatembeza maeneo mbalimbali hapa Dar.
Ushauri wako ni biashara gani naweza anzisha na ikawa ipo simple lkn
- faida ni uhakika
- faida ya 3000-10,000 kwa siku
- rahisi mimi kusimamia
- niweze achia kijana wa kike au kiume
Nipo flexible mtaji kubadilika
Ila
Hiyo 1M niigawe kwa vijana kadhaa
Shukrani
Inategemea upo eneo gani Mkuu hii biashara inawezekana kama utakuwa na utayari.Habari members. Unamshauri biashara gani mtu mwenye mtaji wa 5000?
"Ondoa neno haiwezekani kwenye fikra yako na maneno yako yote unayoongea"
Bado soma tena kama utaelewa wewtayal boss
Biashara ni Imani, tafuta maana ya imani hiyo ndiyo biasharanimekaa na kujishauri kuhusu swala la ujasiriamali nimewaza sana lakini nimeshindwa pata jibu ni biashara gani naweza fanya nanina mtaji wa laki 5
Sasa laki 5 ndio itamtosha kulipia ada,nauli na chakula mwaka mzima wa masomo?Ndugu yangu kama uwezo unao (una wazazi wa kugharamia shule yako)...tumia muda huu kujiimarisha ki elimu kwanza.
Cz baadae amini nakuambia hutoweza kutokana na majukumu and the like.
Thank Me Later.