19 records studio
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 421
- 1,085
Go ahead mummy.
Nifundishe basi.
muheshim mwenzio MUNGU ana kuonaNjoo nikuoe tu.
Utaingiza pesa tani yako.
Mkuu mi nimekuelewa vizuri sana! Hapo wala hujamkatisha tamaa but umem motivate.sasa nimekukatisha tamaa kivip au unajikatisha tamaa mwenyew,... Mi nimekupa hope unasema nakukatisha tamaa, watu wengine sijui vp, IDK
Haya. Asante kwa ushauri.Tembeza machungwa kwenye beseni. Ila kuna thread moja uliianzisha ya kuponda watu fulani, na wale uliowanzishia thread hiyo ni pesa ya lunch kwao.. Pambana na laki moja yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa hujakosea kitu. Hata useme una billion 10,kuna watakaokuponda, na watakaokuja kinafki, Lakini ujue a unamtaji Mdogo, wataishia kuchungulia, na kukukebeh na kutoka.HAPA JF WENG SYO WAFANYABIASHARA
WENG NI
1. JOBLESS
2. GRADUATE WANAOHANGAIKA NA KAZI.
3. WATAFUTA NDOA
4. MASHUSHUSHU (MALAIKA WA KUINGILIA MITANDAO)
WAFANYABIASHARA HUMU HAWAZIDI 1%
JF INAAKISI MAISHA YA WATZ WALIO WENGI.. HAWANA IDEA WALA UZOEFU WA BIASHARA.. HATA UKASEMA UNA MTAJI WA M. 100, SANASANA UTAAMBULIA MATAPELI.
Asante sana.Nenda k'koo sehemu wanazofungua mabalo kapoint nguo za watoto na kawauzie jirani zako unao wafahamu au ziweke sehemu wanayopita watu wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Go ahead mummy.
Asante sana sana.Karanga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)
Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa
Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy
Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia
Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..
Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...
Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland
Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo
Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela
Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em
Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while
hata bibi alikuwa binti.
Asante sana sana.Karanga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)
Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa
Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy
Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia
Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..
Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...
Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland
Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo
Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela
Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em
Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while
hata bibi alikuwa binti.
Nashukuru.sasa nimekukatisha tamaa kivip au unajikatisha tamaa mwenyew,... Mi nimekupa hope unasema nakukatisha tamaa, watu wengine sijui vp, IDK
niuzie na mimi chache za majaribioBiashara hii hapa
anza kuuza glass protecta.
haswa za tecno na simu zote kwa ujumla tablets n.k, kila moja ntakupa kwa 1500,
Kwa hela yako utapata
pc 60
Utazunguka maofisini.
Nakutabiria utauza kwa siku 10
Kila moja utauza kwa 3000
Kwa siku utapata 30000
Nauli na chakula 10000
Kwa mwezi utapata zaidi ya laki 5
Kwa mwaka utakuwa na zaidi ya ml5
sorry mkuu nadhani hajakuelewa labda sababu ulichanganya na lugha ya malkia tehtehteh.sasa nimekukatisha tamaa kivip au unajikatisha tamaa mwenyew,... Mi nimekupa hope unasema nakukatisha tamaa, watu wengine sijui vp, IDK
Wacha kuleta ushoga we fala kwenye mambo siriasiNjoo nikuoe tu.
Utaingiza pesa tani yako.
Aisee mkuu umemmaliza aende nairobi na lakiKaranga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)
Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa
Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy
Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia
Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..
Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...
Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland
Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo
Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela
Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em
Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while
hata bibi alikuwa binti.