Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Ndio wanajf wenzangu nadhani kichwa cha habari kimeweka wazi mi nikijana nafanya kazi kwenye ofisi moja iv lakn na kipato changu nichakawaida naombeni mawazo yenu ili nijiinue kidogo kwny kipato changu
Karbuni kuchangia mawazo yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAPA JF WENG SYO WAFANYABIASHARA
WENG NI
1. JOBLESS
2. GRADUATE WANAOHANGAIKA NA KAZI.
3. WATAFUTA NDOA
4. MASHUSHUSHU (MALAIKA WA KUINGILIA MITANDAO)

WAFANYABIASHARA HUMU HAWAZIDI 1%

JF INAAKISI MAISHA YA WATZ WALIO WENGI.. HAWANA IDEA WALA UZOEFU WA BIASHARA.. HATA UKASEMA UNA MTAJI WA M. 100, SANASANA UTAAMBULIA MATAPELI.
 
HAPA JF WENG SYO WAFANYABIASHARA
WENG NI
1. JOBLESS
2. GRADUATE WANAOHANGAIKA NA KAZI.
3. WATAFUTA NDOA
4. MASHUSHUSHU (MALAIKA WA KUINGILIA MITANDAO)

WAFANYABIASHARA HUMU HAWAZIDI 1%

JF INAAKISI MAISHA YA WATZ WALIO WENGI.. HAWANA IDEA WALA UZOEFU WA BIASHARA.. HATA UKASEMA UNA MTAJI WA M. 100, SANASANA UTAAMBULIA MATAPELI.
Haswaaa hujakosea kitu. Hata useme una billion 10,kuna watakaokuponda, na watakaokuja kinafki, Lakini ujue a unamtaji Mdogo, wataishia kuchungulia, na kukukebeh na kutoka.
Nimeamini Hilo.
 
Karanga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)

Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa

Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy

Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia

Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..

Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...

Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland

Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo

Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela

Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em

Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while


hata bibi alikuwa binti.
Asante sana sana.
Ila la mwisho, unataka nikale chakula cha bure sirikalini?????
 
Karanga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)

Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa

Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy

Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia

Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..

Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...

Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland

Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo

Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela

Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em

Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while


hata bibi alikuwa binti.
Asante sana sana.
Ila la mwisho, unataka nikale chakula cha bure sirikalini?????
 
Biashara hii hapa
anza kuuza glass protecta.
haswa za tecno na simu zote kwa ujumla tablets n.k, kila moja ntakupa kwa 1500,
Kwa hela yako utapata
pc 60
Utazunguka maofisini.
Nakutabiria utauza kwa siku 10
Kila moja utauza kwa 3000
Kwa siku utapata 30000
Nauli na chakula 10000
Kwa mwezi utapata zaidi ya laki 5
Kwa mwaka utakuwa na zaidi ya ml5
niuzie na mimi chache za majaribio
 
ungesema shingapi kipato cha kawaida ni nini?
wengine kpato cha kawaida ni milioni hamsini
wengine milioni tano
wengine laki saba
wengine elfu sitini
wengine elfu saba(wanaitwaga Lumumba fc)
 
Karanga za mayai(hapa ukipata centre kama maeneo ya shule hasa za msingi utakuza mtaji wako)

Bites and beverages..sana sana juice ya kuitengeneza mwenyewe ndio inalipa

Kata park matunda na kuuza..acha aibu nothing comes easy

Nunua na kuuza nguo za ndani nzuri kwa jinsi zote mbili,hata nguo za watoto ni dili pia

Nunua kwa bei ya jumla kisha uza reja reja bidhaa hizi pampers, pedi, medicated soaps and toothpastes etc..

Nunua na kuuza mapambo/urembo kama hereni bracelets nk machalii was dar wanapenda sana kujipamba...

Cover na protectors za simu zinauzwa kwa mafungu Nairobi, kanunue uje uuze bongoland

Kuna dawa muhimu pia zimekuwa adimu e.g action painkillers utazipata Nairobi ukuje kuuza hapa bongo

Kids kits ukijua kuchagua nzuri zile watoto wanapenda utapiga ela

Uza rasta mawigi na rangi za kupaka..ladies like to fake their nature u ll gat em

Kama unaweza uza ganja na miraa..hiyo ela itajizidisha kwa yenyewe after a while


hata bibi alikuwa binti.
Aisee mkuu umemmaliza aende nairobi na laki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom