Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Asante
Ujana haubagui.
Asante
Sijawahi
njoo tu uikatikie nikupe pesa.Ningetaka kuolewa. Ningerafuta mchumba.
Ujana haubagui.
Nipo serious. Wewe Sema tu hapa. Hata wakikatisha Tamaa. Najua nini nakihitajiKama upo serious kweli, njoo piemu, hapa kuna wakatishaji tamaa wametawala!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana. Unapata kana wapi?Biashara hii hapa
anza kuuza glass protecta.
haswa za tecno na simu zote kwa ujumla tablets n.k, kila moja ntakupa kwa 1500,
Kwa hela yako utapata
pc 60
Utazunguka maofisini.
Nakutabiria utauza kwa siku 10
Kila moja utauza kwa 3000
Kwa siku utapata 30000
Nauli na chakula 10000
Kwa mwezi utapata zaidi ya laki 5
Kwa mwaka utakuwa na zaidi ya ml5
Sana
Sijui kutengeneza. Ila ngoja nigoogle. AsanteTengeneza doormat/footmat (vile vya kukanyagia miguu) kwa kutumia uzi then uza ni rahic tuu
Jujapata wa kuikatikia tu bado. Japo ulitangaza unatafuta?? Ila ningetaka vya kupewa nisingehangaika hivi.njoo tu uikatikie nikupe pesa.
Unachezea bahati ohooo!.Jujapata wa kuikatikia tu bado. Japo ulitangaza unatafuta?? Ila ningetaka vya kupewa nisingehangaika hivi.
Ningekaa tu. Na kusubiri kuletewa
Ujana haubagui.
Fungua PM.
Ujana haubagui.
Ni simple sanaSijui kutengeneza. Ila ngoja nigoogle. Asante
Ujana haubagui.
Nifundishe basi.Ni simple sana
Usinikatishe Tamaa.Ukianzisha biashara kwa pesa io na biashara ikawa kubwa, wee ni tajir hautashindwa kitu kamwe! Uo ni mtihan mkubwa ur apprentice will make you a millionare kila la heri mkuu
Usinikatishe Tamaa.Ukianzisha biashara kwa pesa io na biashara ikawa kubwa, wee ni tajir hautashindwa kitu kamwe! Uo ni mtihan mkubwa ur apprentice will make you a millionare kila la heri mkuu
Usinikatishe Tamaa. Kumbuka Kuna watu walianza na mtaji wa elfu hamsini na sasa wanaing izakaya malaki kwa sikuUkianzisha biashara kwa pesa io na biashara ikawa kubwa, wee ni tajir hautashindwa kitu kamwe! Uo ni mtihan mkubwa ur apprentice will make you a millionare kila la heri mkuu
.sasa nimekukatisha tamaa kivip au unajikatisha tamaa mwenyew,... Mi nimekupa hope unasema nakukatisha tamaa, watu wengine sijui vp, IDKUsinikatishe Tamaa. Kumbuka Kuna watu walianza na mtaji wa elfu hamsini na sasa wanaing izakaya malaki kwa siku