Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Habari zenu wana jamvi,
Nimepata mtaji kiasi cha sh 1,200,000/= lengo langu nifanye biashara ya kupata sh 20,000-30,000/= kwa siku. Je inawezekana kupata biashara ya kuingiza kiasi hicho?
Kuna mmoja kanishauri biashara ya kuuza juisi ya miwa kwa kumuweka mtu anifanyie maana yake mimi nipo mkoani, lakini bado sijaifikiria na kupata majawabu.
Nishaurini wadau biashara gani nifanye?
====
Pia, soma:
--Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
-- Mtaji wa milioni 1 na laki 2 naweza fanya biashara gani Dar es Salaam?
Nimepata mtaji kiasi cha sh 1,200,000/= lengo langu nifanye biashara ya kupata sh 20,000-30,000/= kwa siku. Je inawezekana kupata biashara ya kuingiza kiasi hicho?
Kuna mmoja kanishauri biashara ya kuuza juisi ya miwa kwa kumuweka mtu anifanyie maana yake mimi nipo mkoani, lakini bado sijaifikiria na kupata majawabu.
Nishaurini wadau biashara gani nifanye?
====
Pia, soma:
--Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
-- Mtaji wa milioni 1 na laki 2 naweza fanya biashara gani Dar es Salaam?