Eleweka vizuri, hiyo ndiyo bei gani.Nimepata mtaji kiasi cha sh 1,2000,000/=
Eleweka vizuri, hiyo ndiyo bei gani.Nimepata mtaji kiasi cha sh 1,2000,000/=
Mkuuu mazingira niliyopo hayashawishi katika biashara na huyo ninaetegemea kumtumia namuamini sana aisee.Ni kijana niliemlea mm na kumuweka katika misingi iliyo mizuri.Nifanyeje mkuuu?Upo mikoani unataka umpe mtu 1.2M Dar? Acha kutafutia lawama watoto wa wenzio. Fanya biashara mwenyewe huko huko mkoani. Ukiamua kuja Dar njoo mwenyewe ufanye biashara.
Nunua kuku au mbuzi huko mkoani mtumie dogo auze.Mkuuu mazingira niliyopo hayashawishi katika biashara na huyo ninaetegemea kumtumia namuamini sana aisee.Ni kijana niliemlea mm na kumuweka katika misingi iliyo mizuri.Nifanyeje mkuuu?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Kwa mkoa duh. Uko alime tu.Jamaa kasema yupo mkoani 😳😳 hustles Dar
Kubet ni ujanja Bob 😂😂😂 napenda mpira mpaka nauota Kwa week mara 4 hila achana na mambo ya betting kaa mbali.Umenifundisha bonge la ujanja. Jf sihami
Mchanganuo tafadhali isije ikawa kama ule uzi kufuga kuku wa gharama ya 300,000.Mkuu kama unaweza ufugaji wekeza kwenye kuku wa kienyeji chuku 500K inatosha kwa kuanzia
Pitia ule uzi una Madini ya kutoshaMchanganuo tafadhali isije ikawa kama ule uzi kufuga kuku wa gharama ya 300,000.