Asante mkuuInatosha sana kutegemeana na sehemu yako ya biashara, aina za nafaka utakazojihusisha nazo, bei ya nafaka unapochukulia na gharama za usafiri pamoja na ushuru.
Zaidi inatosha sana na chenji inabaki-start with what you have in hand even if it's 100/=.
Asante sana mkuu vipi faida yake?Kwa ushauri tu,anza na 2M hiyo nyengine acha,mpaka utavyoona bidhaa gan inapendwa zaidi ndio hiyo pesa nyengine ijazie
Faida ipo kulingana na Location, maana naswma hivyo nilishawahi kufanya toka mwaka juzi, ila nikaacha, Location muhimu,fanya pia uwe na connection na wauzaji wa jumla kabisa na sio wa kati na pia ubunifu wa kila namna unahitajikaAsante sana mkuu vp faida yake?
Utaweza ni hela nyingi sana hiyo, ila ukikwama ntakuunganisha na majamaa flani wa Q-NET watakuambia vizuri matumizi ya hiyo hela mln 4Habari zenu?
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Je kwa mtaji huo wa milion 4 naweza kufungua duka la nafaka kwa jumla na rejareja? Naombeni mchanganuo wenu pia faida na hasara zake.
Asanteni.