je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,875
- 3,615
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo yakwamba nahitaji mtu uelewa wa hayo mambo ya money transfer ambae atanieleza step by step ni jinsi gani naweza kuwa wakala wa mtaani kwenye fremu tu niliyopanga na kufanya hii kazi. Je taasisi zinaruhusiwa ni bank peke yake au hata mtu pia tu individual ambae ana mtaji fulani anaweza akaendesha.nakaribisha positive comments
Maendelea hayana chama
Vijana tupumbane kihalali mkono uende kinywani.
Maendelea hayana chama
Vijana tupumbane kihalali mkono uende kinywani.