Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

Kwani hizo biashara ambazo ulikuwa unawaachia vijana zilikuwa zinalipa isipokuwa vijana ndio sio waaminifu au zilikuwa zilileta hasara?
Kama zilikuwa zinalipa sioni haja ya kuja kutafuta fursa nyingine mi nakushauri concentrate kwa kufanya review upya ya jinsi kukabiliana na changamoto hiyo vinginevyo utajaribu kila fursa na unaweza kuishia na hasara kila siku.
 
Jamaa yangu ameomba ushauri,nimeona nilete jamvini ;
"Nimejifunza mengi kwa muda mrefu,...ninafanya shughuli nyingine ambayo inanihitaji niwepo muda mwingi....lakini nina mtaji kama 20m ambayo ninataka kuwekeza sehemu nyingine ili niongeze wigo wa kipato lakini napata changamoto ya kuwekeza ukizingatia sintokuwepo full time sababu;
1.Asilimia 95% ya fursa zinazotangazwa ni za kitapeli kama vile Namaingo,BitClub,Forex nk kote huko nimepigwa vya kutosha
2.Nikifungua biashara na kumuweka kijana ...ni maumivu matupu kwani sasa nimeamini hakuna kijana wa kumpa kazi akafanya na ukatengeneza hela
3.Biashara za mtandaoni 99% ni za kitapeli...
Sasa nimekwama kabisa....Natafuta mawazo mapya kama yapo...."
Duh hata mimi nakuna kichwa, mwenye wazo jipya anakaribishwa......
Nunua kiwanja jenga nyumba ya kupangisha. Kodi ukipata weka bank kwa sabab inaonekana uko busy huwez kusimamia biashara.
 
Kwani hizo biashara ambazo ulikuwa unawaachia vijana zilikuwa zinalipa isipokuwa vijana ndio sio waaminifu au zilikuwa zilileta hasara?
Kama zilikuwa zinalipa sioni haja ya kuja kutafuta fursa nyingine mi nakushauri concentrate kwa kufanya review upya ya jinsi kukabiliana na changamoto hiyo vinginevyo utajaribu kila fursa na unaweza kuishia na hasara kila siku.

Yap zilikuwa zinalipa....lakini sasa hawezi kujigawa kote anatafutwa mtu anayejitambua
 
Jamaa yangu ameomba ushauri,nimeona nilete jamvini ;
"Nimejifunza mengi kwa muda mrefu,...ninafanya shughuli nyingine ambayo inanihitaji niwepo muda mwingi....lakini nina mtaji kama 20m ambayo ninataka kuwekeza sehemu nyingine ili niongeze wigo wa kipato lakini napata changamoto ya kuwekeza ukizingatia sintokuwepo full time sababu;
1.Asilimia 95% ya fursa zinazotangazwa ni za kitapeli kama vile Namaingo,BitClub,Forex nk kote huko nimepigwa vya kutosha
2.Nikifungua biashara na kumuweka kijana ...ni maumivu matupu kwani sasa nimeamini hakuna kijana wa kumpa kazi akafanya na ukatengeneza hela
3.Biashara za mtandaoni 99% ni za kitapeli...
Sasa nimekwama kabisa....Natafuta mawazo mapya kama yapo...."
Duh hata mimi nakuna kichwa, mwenye wazo jipya anakaribishwa......

Try UBA
 
Yap zilikuwa zinalipa....lakini sasa hawezi kujigawa kote anatafutwa mtu anayejitambua
ndo maana nimesema aje na plan ya kutatua hiyo changamoto kuliko kuanzisha kingine kipya, unaachaje biashara inayokulipa kwa changamoto ya vijana.
 
Sijawahi kufanya biashara ya aina yeyote isipokuwa nimefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs 25/-m ambazo nafikiria kujiajiri kwa kufanya biashara.

Naomba wazoefu wa Jiji la Dar mnipe ushauri juu ya biashara ya kufanya tafadhali.

Sababu huna uzoefu wowote nunua Nyumba Upangishe. Ni rahisi kusimamia.
 
Wewe unapenda biashara gani kufanya au unadhani ukifanya weweza isimamia? Wewe unapenda ufanye biashara ndani ya Dar tu au hata nje ya mkoa wa Dar?
 
Nyumba ya 25m ikoje

Muhimu ni pesa inayokuja kila mwezi wakati mtaji wako uko salama na unakua. Pia anaweza kujenga.

Forex, leo una pesa, kesho ni omba omba unataka kujiua, sababu umepoteza pesa zote au umepigwa na ukapigika na wajanja.

Tumshauri vizuri ndugu yetu.
 
Mkuu kipindi hiki mpunga kule Mbeya bei rahisi nenda kanunue mpunga au mchele peleka dar mpaka mwez wa10 bei inakua imepanda unapiga hela tu mpaka watakuita mchawi
 
Jamaa yangu ameomba ushauri,nimeona nilete jamvini ;
"Nimejifunza mengi kwa muda mrefu,...ninafanya shughuli nyingine ambayo inanihitaji niwepo muda mwingi....lakini nina mtaji kama 20m ambayo ninataka kuwekeza sehemu nyingine ili niongeze wigo wa kipato lakini napata changamoto ya kuwekeza ukizingatia sintokuwepo full time sababu;
1.Asilimia 95% ya fursa zinazotangazwa ni za kitapeli kama vile Namaingo,BitClub,Forex nk kote huko nimepigwa vya kutosha
2.Nikifungua biashara na kumuweka kijana ...ni maumivu matupu kwani sasa nimeamini hakuna kijana wa kumpa kazi akafanya na ukatengeneza hela
3.Biashara za mtandaoni 99% ni za kitapeli...
Sasa nimekwama kabisa....Natafuta mawazo mapya kama yapo...."
Duh hata mimi nakuna kichwa, mwenye wazo jipya anakaribishwa......

Nunua DCM ulaze 100-120 kwa siku
 
Ndugu wana JF napenda mnishauri niko hapa GEITA mjini nataka nimfungulie mke wangu sehemu ya biashara mtaji nilionayo ni milioni 20.Ki ukweli mimi sina uzoefu na biashara nimaejiriwa taasisi ya binafsi.Mke wangu alikuwa anafanya kazi kama mwalimu nimemwaachisha ili afanye biashara ili tuone tunaboresha maisha yetu.Sasa nawaombeni ushauri kwa huo mtaji nifanye biashara gani?Shukrani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamwachisha kazi? hapana ungeanza biashara kwanza huku akiendelea na kazi then utaona nini kinafaa.biashara ya nafaka. Au uwakala WA miamala ya fedha mbalimbali.au internet cafe nk
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom