President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakituma maoni yao kwenye radio mbalimbali' wakisema bora jeshi lichukue nchi.
Hata hivyo kutokana na maafisa kadhaa wa ngazi za juu jeshini kuhusishwa na kashfa nzito za ubadhirifu, ni wazi kwamba wazo hilo si muafaka hata kidogo.
Utawala wa kijeshi unaweza kuipeleka nchi yetu kubaya zaidi, kinyume na matarajio ya wale wenye matamanio kama hayo.
Dhana ya utawala bora na demokrasia ya kweli, kwa kufuata misingi ya sheria bila ubaguzi, ndio njia sahihi zaidi ya kututoa hapa tulipo.
Hata hivyo kutokana na maafisa kadhaa wa ngazi za juu jeshini kuhusishwa na kashfa nzito za ubadhirifu, ni wazi kwamba wazo hilo si muafaka hata kidogo.
Utawala wa kijeshi unaweza kuipeleka nchi yetu kubaya zaidi, kinyume na matarajio ya wale wenye matamanio kama hayo.
Dhana ya utawala bora na demokrasia ya kweli, kwa kufuata misingi ya sheria bila ubaguzi, ndio njia sahihi zaidi ya kututoa hapa tulipo.