Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Una huruma sana kuhusu hayo matokeo. Haufai kufanya utafiti maeneo ya Lumumba wewe. Sio kwa michango na posti zao humu!Halafu mambo ya msingi hawayaoni wamebaki kubwabwaja yasiyo na maana.
Uchumi umenyauka kama mchicha usio pata maji wao sawa, mikopo ya wanafunzi ni mgogoro mkubwa unanyemelea taifa wao hawaelewi, ajira za Vijana hakuna wala mpango wa kuwawezesha haupo yanaona poa tuu, mkulu anasema kafurahi madereva wa malori wanakosa kazi eti alikuwa na ugomvi nao yenyewe yanachekelea tuu.
Kweli ile tafiti ya watu wanne ingefanyika pale Lumumba matokeo yangekuwa tofauti. Kila penye wanne wawili ni mataahira