Kwa mnaokuja Mgambo JKT, mambo ni shwari!

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,584
Usisahau cheti original na living certificate original ila kama huna living njoo na kitambulisho cha shule ni muhimu sana mana maafande wamechafuka roho.

Karibuni!
 
Vipi mkuu, kwata imeanza? Na sisi wenye mpango wa kuchelewa kama wiki moja tutapokelewa?
 
Kwata rasmi jumatatu ila now kimtindo tu.vipi mkuu wewe ni dawili au ngorongoro,,?
 
habar wana jf ivi kwa wale wa kujitolea washapangiwa na wanaripoti lini makambini msaada please kwa mwenye ufahamu
 
Madogo mnakula utawala tuu waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????/ pigeni kozi aseee mmeenda msimu mzuri wa kulinda manyani wasile mahindi mtakula utawala sana pia mmewamisi maafande kama Lt Laizer Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Major Kanole C O wa 835 KJ He is a gud person
Young engineer/ Service Man Moody###########
835 KJ
KOMBANIA G COY
PLATOON 01
SECTION 02
OP: MIAKA 50 YA JKT
Waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
wengine wameshapangiwa kambi ila kuripoti ni had mwezi 9 au 10

Tuambie ni tangazo gani la jkt ambalo linasema wakujitolea wata ripoti mwezi wa 9 au wa 10? Maana kwa mujibu wa jkt wamesema ni mwezi wa 6 na tangazo wakalitoa.. nyie ndo mlisemaga form6 mwaka huu hawaendi jeshi wakati wenyewe wahusika walishatoa tangazo
 
Madogo mnakula utawala tuu waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????/ pigeni kozi aseee mmeenda msimu mzuri wa kulinda manyani wasile mahindi mtakula utawala sana pia mmewamisi maafande kama Lt Laizer Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Major Kanole C O wa 835 KJ He is a gud person
Young engineer/ Service Man Moody###########
835 KJ
KOMBANIA G COY
PLATOON 01
SECTION 02
OP: MIAKA 50 YA JKT
Waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

laizer alihamshwa pot bt tulkuta habar zake,,nilkua mwak jna op miaka 50 muungno mujbu wa sheria,,,,,chalee coy
 
Tuambie ni tangazo gani la jkt ambalo linasema wakujitolea wata ripoti mwezi wa 9 au wa 10? Maana kwa mujibu wa jkt wamesema ni mwezi wa 6 na tangazo wakalitoa.. nyie ndo mlisemaga form6 mwaka huu hawaendi jeshi wakati wenyewe wahusika walishatoa tangazo

Ata minaona hizi habari za mwezi wa 9 sio za kweli
 
Madogo mnakula utawala tuu waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????/ pigeni kozi aseee mmeenda msimu mzuri wa kulinda manyani wasile mahindi mtakula utawala sana pia mmewamisi maafande kama Lt Laizer Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Major Kanole C O wa 835 KJ He is a gud person
Young engineer/ Service Man Moody###########
835 KJ
KOMBANIA G COY
PLATOON 01
SECTION 02
OP: MIAKA 50 YA JKT
Waziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Waziiiii afande
 
Back
Top Bottom