kibao cha mbuzi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 507
- 489
It's possible mkuu hd leo mm natumia mawili tu
Kama ndivyo bhasi mlisoma enzi za ukoloni:! Majina ma3 tulikua tunalazimisha hata ukoo wangu nilikuja kuujua baada ya kuhimizwa shuleni darasa la 4 nilikua najuaga jina langu na la dingi na kabila ila ukoo baadaeMbona kawaida sana tu.....mie ninatumia mawili tangu primary, o level,A level,Universty...mpaka kazin