- Thread starter
- #41
AsanteSasa si umeshaambiwa uende mahakamani ukaape? Au ni ushauri gani unaoutaka mkuu?
AsanteSasa si umeshaambiwa uende mahakamani ukaape? Au ni ushauri gani unaoutaka mkuu?
Asante kaka ngoja niende mahakamaniMkuu,
Kama nimekuelewa vizuri, unachopaswa kufanya ni kuwasilisha kiapo ambacho kitabainisha nia yako ya kutumia majina hayo matatu "Affidavit". Kiapo hicho ni nyaraka inayoandikwa na kuthibitishwa "Attested" na Kamishna wa Viapo (Wakili, Hakimu/Jaji).
Ninaweza kukusaidia kufanikisha hilo kama bado una uhitaji.
Kaka ...
Ninaenda sasa hiviMahakana ya mwanzo ,sh.5000 tu!!
Passipoti ina majina matatu yaliyoko kwenye cheti cha kuzaliwaHili halina shida kbs, na passport ina majina mangapi?
ss unawasiwasi gani, au ulifoji vyetiPassipoti ina majina matatu yaliyoko kwenye cheti cha kuzaliwa
Umefika angalau chuo kikuu kijana?? Mbona wapo wengi sana??Yaani ufike mpaka chuo kwa majina mawili tu!!? Sio nchi hii
Asante
Majina huongezwa, kupunguzwa, hubadilishwa au kurekebishwa kwa nyaraka maalum ya kisheria inayoitwa Deed Poll. Hii huandaliwa, kusajiliwa na kuchapishwa. Baada ya hapo, mbadili jina huanza kulitumia jina jipya. Kiapo/Affidavit hakitumiki kubadili jina. Kiapo hutumika kupambanua tu majina yaliyopo kwenye nyaraka tofauti kwa muda ule tu.Petro E. Mselewa karibu tunaomba msaada huku ndugu yangu, wakili msomi, nguli wa sheria
Ulisomea nchi gani? Maana kwa nchi hii ni ngumu kufika chuo ukiwa na majina mawili tu... Mtoto wakati anaanza tu darasa la kwanza wakata majina matatu, kila siku alikuwa ananisumbua kuniuliza, eti babu yangu anaitwa nani?Mimi nimesoma hadi chuo nikitumia majina mawili ninataka kuongeza la tatu msaada please (tafadhali) kwa hatua za kuchukua.
Nisaidieni wana jf
Kweli mkuu, haya mambo yameanza miaka ya 90. Kabla ya hapo hakukuwa na tatizo. Kuna siku bank walikataa kupokea cheque kwenye account ikabidi wanipe cash sababu jina liliongezwa herufi, Mfano Simiyu, cheque ikaandikwa Simmiyu.Usibishe mkuu, mbona inawezekana. Hata mm nimefika chuo kikuu kwa majina mawili tu
Mbona Mimi nilifika chuo kwa majina mawiliYaani ufike mpaka chuo kwa majina mawili tu!!? Sio nchi hii
Huwa ni bure kabisaYategemea na mahakama mimi niliambiwa 15,000 waliniwekea mlolongo wa malipo hadi nikajikuta naghaili tu.
Hata mimi nilifika kwa majina mawili tena wapo wengi sana wa aina hiyoYaani ufike mpaka chuo kwa majina mawili tu!!? Sio nchi hii
Upo sahihi dingiIpo hivi Ndugu, Kama unaitwa majina mawili katika vyeti vya shule na chuo, na hilo jina la tatu lipo katika cheti chako cha kuzaliwa haina shida na inakubalika hadi utumishi. Mimi nilisoma kwa majina mawili had chuo, nilipoajiriwa nikaongeza jina la tatu katika ajira, ila jina hilo la tatu lipo katika cheti changu cha kuzaliwa. Hakuna aliyenisumbua had leo na utumishi natambulika kwa majina matatu. Hivyo haina shida. Ila kama umesoma na majina mawili na umeongeza la tatu na jina hilo la tatu, halipo katika cheti cha kuzaliwa, hapo inabidi uende kuapa mahakamani. Ili kuthibitisha uhalali wa jina la tatu.