Ungekuwa we ndyo lissu umepigwa risasi 16 mwilini mwako usingeandika huu upupuPaskali tuko pamoja..
*Ameegeuza hard talk kuwa jukwaa la siasa na sio jukwaa la facts and points. No convincing but mere expressing
*Anatumia muda mwingi kugombana/kumsema Magufuli kama personal/personality war na sio vita ya kitaifa dhidi ya Serikali.
*Kukwepa maswali ya msingi na ku jump kwenye anayotaka kusisitiza kisiasa kunamfanya aonekane mwana harakati na sio mwanadiplomasia... hivyo kupunguza makali ya hoja.
*Taja japo moja zuri basi... unapopinga hata mazuri unaonekana una makengeza ya akili.
*Maswali magumu na ya mitego anayajibu kwa kutumia hadithi zilezile ndeefuuu na blah blah za kitaa na sio kujibu kama pro..
*Kelele za kuonewa na ukandamizaji kwa viongozi wa Afrika ni kitu cha kawaida sana hivyo namna alivyoelezea ni big waste kwakuwa he was too unrealistic na kuonekana unalenga kuchafua na sio kuwa na lengo la mabadiliko.
** Big waste
Sent using Jamii Forums mobile app