Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,
Declaration of Interest
Naomba ku declare interest kuwa mimi sina chama, namfahamu Lissu na kumkubali sana tuu, pia na sympathize yeye kwa kilichompata, ila ninachofanya hapa ni being objective. Pia nafahamu fika kinachotokea kila ukifanya ukosoaji wa Chadema au viongozi wao wanaowaabudia, hivyo wale wa kutukana, be free to do so, the truth will always be the truth and will stand up to the end.

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu. him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela, kwa sababu Mandela alirejea kuendeleza mapambano bila kujua nini kitampata, na alipofungwa jela na kusurvive hadi kuja kuja kuwa rais wa SA, hakujua, lakini Lissu, being a lawyer, anajua kabisa huwezi kutuhumu na kutaja majina ya watu bila ushahidi, hivyo ukirejea nchini, anajua fika akikanyaga tuu ardhi ya Bongo, atapokelewa na nani, na anajua atafikia wapi, and kwa situation hii tulionayo sasa, with vitu kama polonium 210, I doubt kama he will be so lucky kama Mandela.

Hivyo huu ni wito kwa watu wa karibu na Lissu, mshauri tuu aendelee na matibabu, hata mwili ukipona kabisa, aendelee tuu na matibabu ya kisaikolojia, ila aandike barua kwa Spika kuelezea kuwa bado anaendelea na matibabu, na kabla hajarejea, atumie international fora, kujihakikia akirejea, hata pokelewa na wale mimi ninaodhania ndio watampokea na hata fikia kule mimi ninakodhania atafikia.

Waliomshambulia Lissu ni watu wasiojulikana, hivyo nilishauri humu
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Pia nikawatambulisha aina mbili za wasiojulikana
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Nikauliza
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Mwisho nikasema waandishi wenye uwezo wa IJ, wanaweza kumsaidia Kamanda Siro kuwabaini wasiojulikana hawa, na mimi ni miongoni mwa waandishi wa IJ,
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija - JamiiForums

My Take.
The Hard Talk kwa Lissu was a waste, Chadema inabidi ianzishe kitengo cha International Politics kuwafunda makada wa Chadema, wakipata international foras, waseme nini in terms of International politics. That was a great opportunity kwa Lissu kuongea as a president in waiting na sio kuongea kama mwana harakati mwanzo mwisho. Hakupaswa kutoa tuhuma zisizo na ushahidi, pia hakupaswa kuponda mwanzo mwisho as if Magufuli is all that evil, and is doing nothing good for this country.

Kwa upande wa lingua, kiukweli Lissu ana flow, kwenye top 5 wetu, mtu pekee mwenye uwezo wa kuflow kivile ni Mama Samia, na labda Majaliwa, tukishuka chini zaidi kwa mawaziri, MFA na January they are good. Kwa upinzani, ikitokea mtu kama Zitto akakaribishwa Hard Talk kiukweli mtaona the difference, nawashauri Wapinzani the man to bank on ni Zitto, kwa sababu Lissu kaharibu, unless awe kaharibu makusudi ili akirejea apokelewe kule so that they can make big noises!.

Paskali
Rejea za Ushauri wangu kwa Tundu Lissu na Chadema
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!. - JamiiForums

CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!. - JamiiForums

Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! - JamiiForums

Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!. - JamiiForums

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe! - JamiiForums

Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele! - JamiiForums
Nkoyi Pasikali,
Nakubaliana na wewe kwa kutokubaliana kutokana na hoja zako.
Yes, kwa mtizamo wako nakubaliana na wewe 100% kuwa umeanalys na kuja na hayo majibu kutokana na hiyo interview.
Mimi nitakuwa na maoni kama ifuatavyo,
1. Lissu ni opposition, hata kama asingekuwa ameshambuliwa isingewezekana apate platform halafu aanze kusifia chama tawala, hata siku moja halitawezekana na kamwe HAIWEZEKANI. Ntakupa na mfano kabisa, Mh Mwita Waitara alikuwa opposition majuzi nafikiri ulikuwa ukisikia alichokuwa akiongea those days, kwa sasa yuko "Njia kuu" unamsikia miziki anayoimba. Hata mkuu wa kaya, ulishawahi kumsikia akisifia upande wa pili? Rais wa jiji la bongo huwa unamsikia? So kwa hapo nakukatalia maana hata wewe huwezi kwenda kwa msichana(Enzi zako) na ukamsifia jamaa anaefukuzia the same msichana unamfukuzia.

2. Lissu ni Lawyer personally sina doubt kuwa anachokiongea hana ushahidi nacho. Kuna mwanasheria mmoja alituhumiwa sana hapa Tanzania,kelele zikapigwa sana na yeye akiwa kimyaaaa, alivyochoka na nyongo kumjaa aliongea sentensi moja tu " I'm not such a fool to sign without cover" mpaka leo hajawahi hata kuitwa kwenye ile mahakama kubwa ilianzishwa kwa lengo la kuwaswekelea mbali MAFISADI.... Palikali wa ngw'iswe, ogopa sana hawa jamaa waliosoma somo linaitwa Law halafu wakapasi mitihani kwenye shule yao inaitwa "Law School". Kama wewe ni mwalimu kama mimi,yakupasa kufikilia mara mbili mbili ili kumrushia kombora, matokeo yake utakuwa kama raisi wa jiji,alijikuta anarusha makombora ya kujishambulia mwenyewe na familia yake.
3. Tukiacha uana siasa,harakati na hicho ulichokisema u "president in waiting" , Lisu ni binadamu wa kawaida kama mimi na wewe, anaumia,anakasirika na anafurahi pia. Kitendo alichofanyiwa na hao watesi wake (Ambao hawajulikani) hakimfurahisha na kamwe hatakisahau maishani mwake, hakika anapopata nafasi ya kuongea na watu lazima atatoa kila alichonacho moyoni kwa maana ya dunia ielewe ni nini kilitokea(Kitu ambacho naamini hata wewe Pasikali ungefanya). Ubinadamu hawezi kumtoka vile tu sababu anahisi anweza kugombea uraisi. Lisu si malaika, bado ni mwanadamu wa kawaida hivyo alichokifanya ni ktimiliza uanadamu.
4. Nahitimisha kwa kukuambia, huo ushahidi mimi na wewe hatujui lakini je,wajua kuwa Lisu hajui au anaujua kilichotokea siku hiyo?
Naamini mimi na wewe hatuwezi kulijibu hilo bali yeye mwenyewe anauwezo nalo na kwa mantiki hiyo,mimi na wewe hatuwezi kuwa mahakimu wa kuhukumu kesi ya Lisu kuwa kaongea vitu pasipo ushahidi.

Namala ng'wichane ong'wa Mayala.
 
Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela, kwa sababu Mandela alirejea kuendeleza mapambano bila kujua nini kitampata,
hapo kuna tofauti ya ushujaa maendela alipigiania uhuru na alirudi kwa ajili ya hilo
lisu kakuta nchi huru tokeo lake kupigwa risasi ni la wanasiasa amabao hawajulikani wa upande upi kwa sababu hizohizo sisizojulikana kumbuka na msemo wao (wanasiasa msiwaamini maneno yao) pia na matendo yao kwa kugombea...wanaweza kufanyiana lolote wakiwa ndani ya chama kimoja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atarejea na hatafanywa kitu - unajuwa huyu tayari kuna vyombo vya kimataifa vinafuatilia hatua zake - tukio la kumshitaki kwa namna yoyote litamjenga zaidi - nionavyo mimi ni wa kupuuzwa
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Naomba ku declare interest kuwa mimi sina chama, namfahamu Lissu na kumkubali sana tuu, pia na sympathize yeye kwa kilichompata, ila ninachofanya hapa ni being objective. Pia nafahamu fika kinachotokea kila ukifanya ukosoaji wa Chadema au viongozi wao wanaowaabudia, hivyo wale wa kutukana, be free to do so, the truth will always be the truth and will stand up to the end.

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu. him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela, kwa sababu Mandela alirejea kuendeleza mapambano bila kujua nini kitampata, na alipofungwa jela na kusurvive hadi kuja kuja kuwa rais wa SA, hakujua, lakini Lissu, being a lawyer, anajua kabisa huwezi kutuhumu na kutaja majina ya watu bila ushahidi, hivyo ukirejea nchini, anajua fika akikanyaga tuu ardhi ya Bongo, atapokelewa na nani, na anajua atafikia wapi, and kwa situation hii tulionayo sasa, with vitu kama polonium 210, I doubt kama he will be so lucky kama Mandela.

Hivyo huu ni wito kwa watu wa karibu na Lissu, mshauri tuu aendelee na matibabu, hata mwili ukipona kabisa, aendelee tuu na matibabu ya kisaikolojia, ila aandike barua kwa Spika kuelezea kuwa bado anaendelea na matibabu, na kabla hajarejea, atumie international fora, kujihakikia akirejea, hata pokelewa na wale mimi ninaodhania ndio watampokea na hata fikia kule mimi ninakodhania atafikia.

Waliomshambulia Lissu ni watu wasiojulikana, hivyo nilishauri humu
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Pia nikawatambulisha aina mbili za wasiojulikana
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Nikauliza
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Mwisho nikasema waandishi wenye uwezo wa IJ, wanaweza kumsaidia Kamanda Siro kuwabaini wasiojulikana hawa, na mimi ni miongoni mwa waandishi wa IJ,
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija - JamiiForums

My Take.
The Hard Talk kwa Lissu was a waste, Chadema inabidi ianzishe kitengo cha International Politics kuwafunda makada wa Chadema, wakipata international foras, waseme nini in terms of International politics. That was a great opportunity kwa Lissu kuongea as a president in waiting na sio kuongea kama mwana harakati mwanzo mwisho. Hakupaswa kutoa tuhuma zisizo na ushahidi, pia hakupaswa kuponda mwanzo mwisho as if Magufuli is all that evil, and is doing nothing good for this country.

Kwa upande wa lingua, kiukweli Lissu ana flow, kwenye top 5 wetu, mtu pekee mwenye uwezo wa kuflow kivile ni Mama Samia, na labda Majaliwa, tukishuka chini zaidi kwa mawaziri, MFA na January they are good. Kwa upinzani, ikitokea mtu kama Zitto akakaribishwa Hard Talk kiukweli mtaona the difference, nawashauri Wapinzani the man to bank on ni Zitto, kwa sababu Lissu kaharibu, unless awe kaharibu makusudi ili akirejea apokelewe kule so that they can make big noises!.

Paskali
Rejea za Ushauri wangu kwa Tundu Lissu na Chadema
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!. - JamiiForums

CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!. - JamiiForums

Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! - JamiiForums

Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!. - JamiiForums

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe! - JamiiForums

Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele! - JamiiForums
Amuandikie barua Spika kuwa anaendelea na matibabu! Spika huyuhuyu ambaye hajui Lissu yuko wapi! Na wala hajawahi kutaka kujua hali ya Lissu akiwa ni mtumishi wake ndani ya bunge! Lissu ataanzaje, kumshukuru kwa kumjulia hali akiwa hosipitali? Au kumsaidia kwenye tiba! Lissu hawezi kuandika na Lissu atarudi Tanzania baada ya kumaliza tiba ya kumbukumbu ambayo anaifanya sasa.
 
The Hard Talk kwa Lissu was a waste, Chadema inabidi ianzishe kitengo cha International Politics kuwafunda makada wa Chadema, wakipata international foras, waseme nini in terms of International politics. That was a great opportunity kwa Lissu kuongea as a president in waiting na sio kuongea kama mwana harakati mwanzo mwisho. Hakupaswa kutoa tuhuma zisizo na ushahidi, pia hakupaswa kuponda mwanzo mwisho as if Magufuli is all that evil, and is doing nothing good for this country.
Yaani kwa yeye kujaribu kuwaexpose suspect wake ndiyo failure kwenye interview!! Seriously!!?

So far yeye na dereva wake ndiyo main witnesses, sasa kwa nini na wewe unadoubt bila kuwa na ushahidi? Kumbuka ushahidi bado utakuwa wa maneno yake kwa jinsi ambavyo ameona. Ndiyo maana zile CCTV zilipotea zenyewe!!? Kama waliweza kuja na picha za SISI TV kwenye issue ya Mo, wameshindwaje kuja nazo kwenye one of the most secure place in Tanzania? Wewe kwa kuwa umesoma law up to a certain level unatakiwa ujue kabisa kuwa circumstantial evidence pia zinaweza kumconvict mtu. Hata hivyo Lissu hawezi kutoa ushahidi kwenye interview, kama anao siku akirudi atautoa police ..............!!

Binafsi, ningekuelewa tu kama ungesema kuna swali hili aliulizwa hivi na akajibu hivi badala ya kujibu hivi. Maswali yote aliyoulizwa yalikuwa around his assassination attempt his opinions against the government.

Naamini, hayo hayo maswali wakipewa wana CCM au serikali watashindwa kuyajibu 100 %. Ndiyo maana mpaka sasa wameshindwa kuja na suspect na file lishafungwa hata bila witness kuhojiwa!!

Lissu ni lazima arudi. Asiporudi ataonekana ni coward. Kwa mtazamo wangu baada ya kujitangaza duniani yeye ni kama political victim wa awamu ya tano, sidhani kama yuko hatarini tena. Kama Malala aliweza kurudi nyumbani tena kwa ma-Taliban, I do not see why not Lissu. Kama ni hivyo basi kuanzia leo tusiseme tena kuwa Tanzania ni salama .............!!
 
Paskali tuko pamoja..
*Ameegeuza hard talk kuwa jukwaa la siasa na sio jukwaa la facts and points. No convincing but mere expressing
*Anatumia muda mwingi kugombana/kumsema Magufuli kama personal/personality war na sio vita ya kitaifa dhidi ya Serikali.
*Kukwepa maswali ya msingi na ku jump kwenye anayotaka kusisitiza kisiasa kunamfanya aonekane mwana harakati na sio mwanadiplomasia... hivyo kupunguza makali ya hoja.
*Taja japo moja zuri basi... unapopinga hata mazuri unaonekana una makengeza ya akili.
*Maswali magumu na ya mitego anayajibu kwa kutumia hadithi zilezile ndeefuuu na blah blah za kitaa na sio kujibu kama pro..
*Kelele za kuonewa na ukandamizaji kwa viongozi wa Afrika ni kitu cha kawaida sana hivyo namna alivyoelezea ni big waste kwakuwa he was too unrealistic na kuonekana unalenga kuchafua na sio kuwa na lengo la mabadiliko.
** Big waste
Yes, on your side might be a Big waste....what about others.....
kila mtu ameelewa kulingana na uelewa wake, kwa uelewa wako uko sawa kumbuka kuna ambao hawako pamoja na wewe,wao wamesikiliza na kumuelewa Tundu tena positively.
 
Hivi ushahidi ataupata wapi zaidi ya ushahidi wa kimazingira uliopo?

Leo hii hata nyie waandishi mnaweza kuandika habari za kiuchunguzi juu ya nini kilitokea Lissu aliposhambuliwa?

Serikali iruhusu uchunguzi huru alafu muone kama alioongea yatakuwa ya uwongo.

Hivi umejiuliza IGP au waziri wa Mambo ya Ndani akienda kuhojiwa nini kitatokea kwa kuangali jinsi swala hili liivyokuwa handled mpaka sasa?

Unadhani kati ya Lissu,IGP au Waziri wa Mambo ya Ndani, nani angekuwa na wakati mgumu wa kujibu maswali yanayomuhusu?

Alafu si ni wewe Pascal uliewahi kuleta mada iliyoibua mjadal kuhusu Lissu kupigwa risasi?

Sometimes huwa una masilahi na mada unazoleta humu ila inawezekana tu watu humu hawajakujua na jambo ambalo una masilahi nalo unaweza kulianzishia mada zaidi ya moja hasa ikitokea kuna mtu wako ameguswa au jambo husika linakuhusu au kuna mtu unataka kumnanga au kumfagilia..

In short, sometimes hauko objective kama unavyotaka watu humu wakuamini.

Pascal usidhani unajua kila kitu!!
Mkuu bado hujamuelewa pascal na sio kama humuelewi sema unapingana na nafsi yako.
sikiliza tatizo la maendeleo Tanzania ni ushabiki katika vitu makini kama usalama,uchumi na maendeleo ya sekta nyingine.... we are so stupid tukidhani maendeleo yataletwa na chama fulani. (maendeleo ni watu)

Pascal uzuri wake kila andiko analolileta lazima alete marejeo yake ya nyuma kufanya referrence ya anachokiandika sasa, kitu amabacho zaidi ya asilimia 70% ya maandiko yake yanakuaga forecast ya uhakika tofauti na vibandiko vyenu vya kishabiki.

kwa taarifa yako katika waandishi makini, wasomi, wenye kusimamia ethics, weledi, analytics na siiifa zoote zimpasayo muandisha hapa Tanzania ni Pascal Mayalla tuu either anasifia upande wako au anauponda huo ndio ukweli na ndio maana mara nyingi hua akurupuki na alichokiandika leo ni Ukweli mtupu Mh. lissu kachemka labda kama ni plan.
 
ukikuta nimesimama na mama yako, utakimbilia kusema kwa baba yako kuwa mimi ni baba yako mwingine?? kumbe mama yako ni bossi wangu au mwalimu wangu!!

uchunguzi huru nani CDM imewazuia???? waiteni kwa hela yenu kama mbowe ataruhusu
Wewe na CCM yako mna laana mbaya sana nakutabiria mabaya juu ya chochote ukifanyacho na ikibidi upotee kwenye huu ulimwengu
 
Mkuu bado hujamuelewa pascal na sio kama humuelewi sema unapingana na nafsi yako.
sikiliza tatizo la maendeleo Tanzania ni ushabiki katika vitu makini kama usalama,uchumi na maendeleo ya sekta nyingine.... we are so stupid tukidhani maendeleo yataletwa na chama fulani. (maendeleo ni watu)

Pascal uzuri wake kila andiko analolileta lazima alete marejeo yake ya nyuma kufanya referrence ya anachokiandika sasa, kitu amabacho zaidi ya asilimia 70% ya maandiko yake yanakuaga forecast ya uhakika tofauti na vibandiko vyenu vya kishabiki.

kwa taarifa yako katika waandishi makini, wasomi, wenye kusimamia ethics, weledi, analytics na siiifa zoote zimpasayo muandisha hapa Tanzania ni Pascal Mayalla tuu either anasifia upande wako au anauponda huo ndio ukweli na ndio maana mara nyingi hua akurupuki na alichokiandika leo ni Ukweli mtupu Mh. lissu kachemka labda kama ni plan.
Huyu mlevi ni mtu makini? anatudhalilisha sana wasukuma
 
Mkuu paskali umenena vyema, ila hapo kusema ametuhumu watu bila ushahidi mimi nina shaka, hivi ushahidi unatoka kwa nani, ni kwa waliomtenda ndo watoe ushahidi au yeye mtendwa ndo atoe ushahi kwa kuwa aliona, na pia ushahidi wa kimazingira kwake ni ushahidi tosha.Lisu ni shujaa ambae hatakaa atokee mwingine hapa tanzania.Mungu amponye haraka ila abaki tu huko maana mafisi yametega pua ili akija yamrarue.
Huoni hata huo ushahid wa mazingira naye ni Mhusika?Swala la yy kufuatiliwa toka Dar hadi Dodoma bila kutoa taarifa polisi kunatia shaka?Utasema alisema kwa waandishi wa Habari, lisu ni Mwanasheria taratibu ziko hivo kwamba ukitishiwa maisha unaita press?Tuje ktk ushahid huo wa mazingira kwanini usihoji kuwa inawezekana na dereva naye ni mhusika katika tukio?Kwanini baada ya tukio akimbilie Nairobi na baada ya hapo Belgium na haieleweki huko anafanya nini?Maelezo ya dereva tu siku ya tukio unaweza jenga maswali hata 30 yenye logic. Nachoona mmempa nafasi kubwa ya kumsikiliza lkn sio nafas ya kumhoji. Kwamba kila maelezo anayotoa ni sahihi?Na hili ndio lililompa shida hata huko kwenye Hardtalk kwamba alizoea kusikilizwa tu bila kuhojiwa. Hata Mimi tu ukinipa nafasi nimhoji huyo lisu hawez chomoa maswali yangu.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Pasco bwana ... naona leo umeuruhusu ubongo wako uweze kuwaza kisengere nyume .... unajishushia heshima mkuu ... baada ya kamati ya bunge kukupiga Ban basi na wewe umeanza kutepeta kama ndizi zilizovundikwa wakati zikiwa mbivu .... hapo ulipo haujawahi hata kung'olewa jino kwa koleo .

... hivyo basi niukweli uliowazi kwamba hauwezi ukaujua uchungu/maumivu ya mtu aliyepigwa risasi 32, mwilini mwake halafu ikatokea akanusurika na kifo ..... lissu alishayaonja nusu mauti so ni mtu asiye hofia kifo ndio maana akachagua kusimamia upande wa kuusimika ukweli uweze kusimama na kila mtu apate kuuona " so acha kutaka kujipatia fame kupitia mgongo wake tafadhari

Hivi wataka kutuambia kuwa kwa uwezo wa critical thinking alionao Lissy hakuwa anajua kuwa ile interview anayo kwenda kuifanya itakuwa na risk zipi kwake .... unadhani kuwa lissu hana washauri na huwa ashauriki Kama mwenyekiti wa ccm ... antipas kabla ya kwenda kufanya kile alichokifanya BBC tayari alikuwa ameshajua " hatari itakayo mkabili baada ya pale ... ila kwakuwa amechagua kubaki kwenye upande chanya " basi ni wazi kwamba alishachagua kuwa shujaa " uwoga /hofu " ni maneno ambayo hayana nafasi ya ku-exist katika diary ya lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Declaration of Interest
Naomba ku declare interest kuwa mimi sina chama, namfahamu Lissu na kumkubali sana tuu, pia na sympathize yeye kwa kilichompata, ila ninachofanya hapa ni being objective. Pia nafahamu fika kinachotokea kila ukifanya ukosoaji wa Chadema au viongozi wao wanaowaabudia, hivyo wale wa kutukana, be free to do so, the truth will always be the truth and will stand up to the end.

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu. him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela, kwa sababu Mandela alirejea kuendeleza mapambano bila kujua nini kitampata, na alipofungwa jela na kusurvive hadi kuja kuja kuwa rais wa SA, hakujua, lakini Lissu, being a lawyer, anajua kabisa huwezi kutuhumu na kutaja majina ya watu bila ushahidi, hivyo ukirejea nchini, anajua fika akikanyaga tuu ardhi ya Bongo, atapokelewa na nani, na anajua atafikia wapi, and kwa situation hii tulionayo sasa, with vitu kama polonium 210, I doubt kama he will be so lucky kama Mandela.

Hivyo huu ni wito kwa watu wa karibu na Lissu, mshauri tuu aendelee na matibabu, hata mwili ukipona kabisa, aendelee tuu na matibabu ya kisaikolojia, ila aandike barua kwa Spika kuelezea kuwa bado anaendelea na matibabu, na kabla hajarejea, atumie international fora, kujihakikia akirejea, hata pokelewa na wale mimi ninaodhania ndio watampokea na hata fikia kule mimi ninakodhania atafikia.

Waliomshambulia Lissu ni watu wasiojulikana, hivyo nilishauri humu
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Pia nikawatambulisha aina mbili za wasiojulikana
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Nikauliza
WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Mwisho nikasema waandishi wenye uwezo wa IJ, wanaweza kumsaidia Kamanda Siro kuwabaini wasiojulikana hawa, na mimi ni miongoni mwa waandishi wa IJ,
Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija - JamiiForums

My Take.
The Hard Talk kwa Lissu was a waste, Chadema inabidi ianzishe kitengo cha International Politics kuwafunda makada wa Chadema, wakipata international foras, waseme nini in terms of International politics. That was a great opportunity kwa Lissu kuongea as a president in waiting na sio kuongea kama mwana harakati mwanzo mwisho. Hakupaswa kutoa tuhuma zisizo na ushahidi, pia hakupaswa kuponda mwanzo mwisho as if Magufuli is all that evil, and is doing nothing good for this country.

Kwa upande wa lingua, kiukweli Lissu ana flow, kwenye top 5 wetu, mtu pekee mwenye uwezo wa kuflow kivile ni Mama Samia, na labda Majaliwa, tukishuka chini zaidi kwa mawaziri, MFA na January they are good. Kwa upinzani, ikitokea mtu kama Zitto akakaribishwa Hard Talk kiukweli mtaona the difference, nawashauri Wapinzani the man to bank on ni Zitto, kwa sababu Lissu kaharibu, unless awe kaharibu makusudi ili akirejea apokelewe kule so that they can make big noises!.

Paskali
Rejea za Ushauri wangu kwa Tundu Lissu na Chadema
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!. - JamiiForums

CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!. - JamiiForums

Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! - JamiiForums

Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!. - JamiiForums

Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe! - JamiiForums

Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele! - JamiiForums
Lissu ahamie CCM tumpe nchi, yuko vizuri sana upstairs
 
Naanza kuamini sasa kabisa, kuwa watanzania wote sie waoga! Tunamuogopa mtu anaechafua sura ya taifa letu ndani na nje.

Kwangu mtu pekee asie muogopa mchafuzi huyu ni Tundu Lissu!
Jamani jitu ovu, dikteta, linaotupuuza, kutunyanyasa na kutudharau na kujiona lenyewe tu ndilo lina akili, halitakiwi kuogopwa! Lissu yuko sahihi 100%

Mwalimu aliwahi kusema unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe, tunyanyaswe na kuonewa! Tukatae unyonge!!

Jitu hili ni liovu na linawazimu tusiliogope! Tumpinge kwa nguvu zetu zote popote pale!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa... Tena linajiita Chizi
 
Back
Top Bottom