Yani waajiri sijui kwann wanafanya hivi, sijui ni unyanyasaji, roho mbaya au maringo, utakuta mtu umeapply kazi, unaambiwa uje kwenye interview saa tatu asubuhi au saa mbili asubuhi, kwa kuheshimu muda unafika hiyo hiyo saa mbili asubuhi, basi utakalishwa kwenye kiti kwa masaa hata matatu, wao wanataka uwahi ila wao hawaheshimu muda wako.