Kwa mkoa wa Morogoro Wilaya gani nzuri kwa kilimo na ufugaji?

Ulanga kuzuri sana, ila mbali na barabara mbaya kuna adha ya usafiri, na ukiachana na hayo yote, wafugaji wa huko ni wasumbufu mno!

Hata Kilombero sugar wanakoma na hao wafugaji.

Everyday is Saturday............................. :cool:
Kilombero sugar wanakoma kivip na wafugaji Mkuu?
 
Wilaya ya kilombero(kidatu hadi mlimba) walimu wengi wenye malengo na kujituma kwenye kilimo wana maisha bora NENDA HUKO MKUU
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30.

Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Kilombero sugar wanakoma kivip na wafugaji Mkuu?
Mkuu wafugaji hulisha kwenye miwa michanga, pia hukata miwa michanga (pilau ya ng'ombe) kwenda kulishia ndama msimu wa kiangazi! Tunaongelea maekari kwa ekari.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Uzi umevamiwa na wanaNamaingo.:D

Everyday is Saturday...............................:cool:
 
Uzi umevamiwa na wanaNamaingo.:D

Everyday is Saturday...............................:cool:
Aahh hiyo changamoto niliwahi isikia ila sikujua kama wafugaji wanaingiza hadi kwenye mashamba ya kampuni nilidhani ni kule wanakolima mpunga wakulima wadogo (Magombela) maana nako huwa wanaingizaga mifugo kiangazi
 
Back
Top Bottom