MWAMUNU
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 856
- 494
Habari za mda huu wana jamvi,
Naomba msaada kwenye tuta.Kuna rafiki yangu ni Mwalimu yupo wilayani Newala katika mkoa wa Mtwara.
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake anatakiwa kuhama kikazi, na katika Mikoa aliyoichagua kuhamia ni mkoa wa Morogoro.
Jamaa yangu anaomba kujua kwa Morogoro ahamie wilaya gani ndo nzuri, maana anataka nje ya kazi yake ya ualimu pia ajihusishe na masuala ya ufugaji na kilimo biashara.
Natanguliza shukrani, pia povu ruksa!
Naomba msaada kwenye tuta.Kuna rafiki yangu ni Mwalimu yupo wilayani Newala katika mkoa wa Mtwara.
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake anatakiwa kuhama kikazi, na katika Mikoa aliyoichagua kuhamia ni mkoa wa Morogoro.
Jamaa yangu anaomba kujua kwa Morogoro ahamie wilaya gani ndo nzuri, maana anataka nje ya kazi yake ya ualimu pia ajihusishe na masuala ya ufugaji na kilimo biashara.
Natanguliza shukrani, pia povu ruksa!