Kwa Mkeo ni hospitali, kwa hawara ni 'love nest'....

Nimeamini nyumba ndogo, hawara, kimada wameota mapembe wanazichoma nyumba kubwa. Hii mijadala yao haiwezi kwisha ni kama Egypt is Nile and Nile is Egypt, discuss
 
Mwanaume kuhamia kwa hawara wakati wa kutumbua maraha, ukiugua unajikongoja nyumbani kwa mkeo kuuguzwa.Kwani huyo hawara yako hajui kuchemsha supu?
Mwanaume kuja home kubadili mavazi na kuacha nguo chafu - kwani kwa mkeo ni kwa dobi/dry cleaner?
Yapo sana kwanini lakini?
Kila mchuma janga hula na wa kwao!!!!!!
 
heheheh kuna mbaba kalazimishwa na hawara ndoa, wakati hajafunga ndoa na mkewe!
Kamuoa hawara Jumamosi usiku wa manane, kisha kesho yake jumapili akamuoa mkewe waliyeishi miaka 17 na kuzaa watoto 5!

Hawara anatamba kumlazimisha naye akakubali! Hilo songombingo alilolianzisha anajua Mola!
Hawara anadai tena live on radio:"simpendi ila napenda pesa yake tu"
Wanaume muwe wastaarabu jamani! Ni nini?Unajua hupendwi lakini umeng'ang'ana tu!
 
Karl Max alishawahi kudefine marriage kama "legalized prostitution". Sitaki sana kuamini hicho lakini nafikiri ndoa ya nyumba kubwa mara nyingi inakuwa legalised na unakuwa huru kujionyesha on public. Nyumba ndogo inakuwa private issues. ndio maana kwa watu walioowana wanakuwa pamoja kwa maswala mengi ya public, kwa mfano kwenye sherehe, ambazo zinakutanisha watu wengi n.k. Swala la kuugua si private, mara nyingi linainvolve vitu kama kulazwa hospital vitu amabvyo vinakuwa si private tena. Hapo ndio maana baba anarudi kwa nyumba kubwa. Na pia nyumba ndogo mara nyingi inakuwa haijaotolewa hata mahali, hakuna ground za kuiforce ikuuguze, nyumba ndogo huwa inajua kutoa service, kwani inajua huo ndio uhai wake. Ila kwa kweli swala hili si swala zuri, ila nanyi akida dada badilikeni msijifanye mmemaliza kila kitu baada ya kuolewa, la sivyo mtauguza sana
 
Karl Max alishawahi kudefine marriage kama "legalized prostitution". Sitaki sana kuamini hicho lakini nafikiri ndoa ya nyumba kubwa mara nyingi inakuwa legalised na unakuwa huru kujionyesha on public. Nyumba ndogo inakuwa private issues. ndio maana kwa watu walioowana wanakuwa pamoja kwa maswala mengi ya public, kwa mfano kwenye sherehe, ambazo zinakutanisha watu wengi n.k. Swala la kuugua si private, mara nyingi linainvolve vitu kama kulazwa hospital vitu amabvyo vinakuwa si private tena. Hapo ndio maana baba anarudi kwa nyumba kubwa. Na pia nyumba ndogo mara nyingi inakuwa haijaotolewa hata mahali, hakuna ground za kuiforce ikuuguze, nyumba ndogo huwa inajua kutoa service, kwani inajua huo ndio uhai wake. Ila kwa kweli swala hili si swala zuri, ila nanyi akida dada badilikeni msijifanye mmemaliza kila kitu baada ya kuolewa, la sivyo mtauguza sana

Maelezo yako ni poa sana aisee.
Ila kwenye red umechemsha....
bibi zetu ndo wameuguza....
sisi mkituletea za kuleta tunawatupa
nje na rambo zenu.Chezea sisi!


 
Karl Max alishawahi kudefine marriage kama "legalized prostitution". Sitaki sana kuamini hicho lakini nafikiri ndoa ya nyumba kubwa mara nyingi inakuwa legalised na unakuwa huru kujionyesha on public. Nyumba ndogo inakuwa private issues. ndio maana kwa watu walioowana wanakuwa pamoja kwa maswala mengi ya public, kwa mfano kwenye sherehe, ambazo zinakutanisha watu wengi n.k. Swala la kuugua si private, mara nyingi linainvolve vitu kama kulazwa hospital vitu amabvyo vinakuwa si private tena. Hapo ndio maana baba anarudi kwa nyumba kubwa. Na pia nyumba ndogo mara nyingi inakuwa haijaotolewa hata mahali, hakuna ground za kuiforce ikuuguze, nyumba ndogo huwa inajua kutoa service, kwani inajua huo ndio uhai wake. Ila kwa kweli swala hili si swala zuri, ila nanyi akida dada badilikeni msijifanye mmemaliza kila kitu baada ya kuolewa, la sivyo mtauguza sana

Em let me be honest,with this kind of thnkn y shud ppl get married?na kwanini umchukulie mkeo kama chambo cha matatizo?aliumbwa kukuhudumia?do you think hana veins zenye blood?i call this selfishness..and hamna justification ya men kula raha na nyumba ndogo na kuleta matatizo nyumbani,a MAN can not do that..hivi hata aibu huoni pale unaporudi na watoto wanakuangalia?dah!i must say,am proud of my dad,sana!.he has been the total opposite of a selfish man!
 
Umeona eeh. Hawa wamekariri kuwa wanawake wote ni wavumilivu; wafanye madudu yao afu waje na mikono imening'inia kama samaki. TUPA KULE. Wakauguzwe na mama na dada zao.

Maelezo yako ni poa sana aisee.
Ila kwenye red umechemsha....
bibi zetu ndo wameuguza....
sisi mkituletea za kuleta tunawatupa
nje na rambo zenu.Chezea sisi!


 
Kuna mambo ambayo yanavumilika kwa mwanaume ila yasipite mpaka. Ni vigumu saana kujua mpaka uko wapi as in where exactly is the line Crossed? Kikubwa ni kua inasikitisha saana kwamba wanawake tulo wengie hatujui our power dhidi ya waume zetu. Mumeo aweza kua kiongozi na kichwa wa mambo mengi saana ndani ya family; ila believe me you kuna some area ambao ipo deep na hufukiwa kabisa na wanaume (ili wanawake/wake zao wasijue) - Kilicho fichwa hapo ni woga alo nao kwa mke wake.... Ikiambatana na mawazo ya "what exactly is this woman capable of??"

Mwanaume haanzi kukukanyaga/kukunyanyasa at par.... NO! Huanza taratibu, kuongezeka kwa kasi hutegemea from one to one according to the circumtances but bila shaka pace ya huo ukandamizwaji huongezeka. Mara nyingi ni mwanamke mwenyewe ambae humpa nguvu huyo mwanaume wa kum-mistreat tokana na reaction towards matendo mabovu ya huyo mwanaume. Yaana akuoneshe dhahiri kenda kujirusha kwa hawara (tena kwa majidai) arudi kwako akiumwa? Is he kidding??

Maswala ya kuchemsha supu... Tausi wewe ni mke mna watoto.. Kuna responsibilites kama shule, maradhi, makazi budget kwa siku ni elfu tano... Kweli nyama itanunuliwa? Sidhani, hilo la kuenda kula supu kwa hawara haliepukiki... For the same pesa akiacha nyumbani na kwa hawara cover ya matumizi ya hiio pesa ni at minimal ukifananisha na kwa hawara (ambae ataweka hata pesa yake for anajua in one way or another jamaa atalipa)
 
Kuna mambo ambayo yanavumilika kwa mwanaume ila yasipite mpaka. Ni vigumu saana kujua mpaka uko wapi as in where exactly is the line Crossed? Kikubwa ni kua inasikitisha saana kwamba wanawake tulo wengie hatujui our power dhidi ya waume zetu. Mumeo aweza kua kiongozi na kichwa wa mambo mengi saana ndani ya family; ila believe me you kuna some area ambao ipo deep na hufukiwa kabisa na wanaume (ili wanawake/wake zao wasijue) - Kilicho fichwa hapo ni woga alo nao kwa mke wake.... Ikiambatana na mawazo ya "what exactly is this woman capable of??"

Mwanaume haanzi kukukanyaga/kukunyanyasa at par.... NO! Huanza taratibu, kuongezeka kwa kasi hutegemea from one to one according to the circumtances but bila shaka pace ya huo ukandamizwaji huongezeka. Mara nyingi ni mwanamke mwenyewe ambae humpa nguvu huyo mwanaume wa kum-mistreat tokana na reaction towards matendo mabovu ya huyo mwanaume. Yaana akuoneshe dhahiri kenda kujirusha kwa hawara (tena kwa majidai) arudi kwako akiumwa? Is he kidding??

Maswala ya kuchemsha supu... Tausi wewe ni mke mna watoto.. Kuna responsibilites kama shule, maradhi, makazi budget kwa siku ni elfu tano... Kweli nyama itanunuliwa? Sidhani, hilo la kuenda kula supu kwa hawara haliepukiki... For the same pesa akiacha nyumbani na kwa hawara cover ya matumizi ya hiio pesa ni at minimal ukifananisha na kwa hawara (ambae ataweka hata pesa yake for anajua in one way or another jamaa atalipa)


Shosti,
akanywe supu kwa hawara yake! Mi sipiki wala sipakui aisee....
ndo uzuri wa wanawake wa karne hii..full kujifahamu na kuamua!
Kama ingekuwa enzi za marahemu bibi sijui ningeishia wapi miye!

 
Shosti,
akanywe supu kwa hawara yake! Mi sipiki wala sipakui aisee....
ndo uzuri wa wanawake wa karne hii..full kujifahamu na kuamua!
Kama ingekuwa enzi za marahemu bibi sijui ningeishia wapi miye

Mapenzi kama soka, ni easy sana kucomment na kukosoa ukiwa nje ya uwanja unaangalia game, ukingia ndani kucheza wala huwezi ona makosa. Hata mbinu ya kukosoa sometime zinakosekana. Usiombe yakupate
 
Em let me be honest,with this kind of thnkn y shud ppl get married?na kwanini umchukulie mkeo kama chambo cha matatizo?aliumbwa kukuhudumia?do you think hana veins zenye blood?i call this selfishness..and hamna justification ya men kula raha na nyumba ndogo na kuleta matatizo nyumbani,a MAN can not do that..hivi hata aibu huoni pale unaporudi na watoto wanakuangalia?dah!i must say,am proud of my dad,sana!.he has been the total opposite of a selfish man!

You must be radical feminist. Hapo kwenye red tafadhari uwe makini kujua tofauti kati ya kitu mtu anachoongea na matendo yake halisi. Mara nyingi binadamu hupangilia maneno na matendo kulingana na hadhira inayomzunguka. Inawezekana dad anajua wazi kuwa hampendi hayo matendo, na akijua hicho wala hatakaa aweke wazi matendo yake kwenye familia. Unless utuambie huwa unakuwa naye katika anga zake zote. Pia kuna watu wanauwezo wa kutoa huduma kwa nyumba zote zikalidhika. What we have to know is the the relation between man and women is a social struggle like other social struggles such as class. Na katika hili kumhukumu mwanaume wala si solution kwenu, solutioni ni ninyi wanawake kushikama na kutambua role yenu kwenye society na mkihusisha mbinu za kutokomeza nyumba ndogo, Mimi naona wanaweke wanaokubali kuwa nyumba ndogo ndio waliti na saratani ya umoja wenu. Katika hili I am proud to be a man, mimi nikijua tu kuwa mtu anaiba mke wangu lazima acheze na mguu wa kuku
 
Nyumba ndogo zinapasua vichwa sana hapa jf, imekuwa ni kansa kwa wanandoa sasa.
 
Patam hapo, na hawakomi wala kujifunza hawa watu...
Mtu ana mke na watoto anaenda malizia mshiko kwa awala, halafu anarudi kwa mkewe akiwa empty!

Yaani hiyo ni very common; hasa kwa vibabu! Nimeona kadhaa wakirudi kwa wake zao ndio wawatawaze, kuwabadili pampers nk.
 
Em let me be honest,with this kind of thnkn y shud ppl get married?na kwanini umchukulie mkeo kama chambo cha matatizo?aliumbwa kukuhudumia?do you think hana veins zenye blood?i call this selfishness..and hamna justification ya men kula raha na nyumba ndogo na kuleta matatizo nyumbani,a MAN can not do that..hivi hata aibu huoni pale unaporudi na watoto wanakuangalia?dah!i must say,am proud of my dad,sana!.he has been the total opposite of a selfish man!


Hivi hiyo bluu ni lugha gani vile?????
 
Hawara wapo kutoa changamoto kwa nyumba kubwa ambayo mara nyingi huwa dorooo

Wakati unamchumbia alikuwa doro?

Dawa ni moja tu ya kumfanya asiwe doro- msizae watoto na usimfanye kuwa Housegirl wako; atakuwa juu even at 60!
 
Hah wengine hufungashiwa nguo zao kwenye rambo akarudi kwa Bi mkubwa!!

Poor us; ukifanya hivyo jamii itakuona muuaji, hata ndugu na waumini wenzio hawatakuelewa. Utaambiwa sio 'mke mwema' na mistari kibao ya vitabu vitakatifu utasomewa.

Nmh mi naona tuendelee kuuguza tu, wanasemaje? Matatizo kaumbiwa mwanamke!! Sadly
 
Shosti,
akanywe supu kwa hawara yake! Mi sipiki wala sipakui aisee....
ndo uzuri wa wanawake wa karne hii..full kujifahamu na kuamua!
Kama ingekuwa enzi za marahemu bibi sijui ningeishia wapi miye!



Tausie dear ukitaka ndoa yako iwe ya amani olewa na mwanaume ambae sio limbukeni wala si mshamba wa mambo hayo... For mwanaume wa hivo huwezi hata amini kua anakunywa supu kwa hawala. But wajuvi hutambua kua as much as the hubby is clean it does not mean yupo cleansed.... Hivo basi nimetoa hio statement tokana na uhalisia....

Mara nyingi watu hushindwa nisoma kwa kweli.... Sijui yawezekana kweli nakosea. Kwamba you think kua navumilia upuuzi?? Kwamba am tha guillable?? HAPANA! Ila tu I am realistic na Najua kabisa kua na relationshipa ya mapenzi (iwe ndoa ama mahusiano) lazima kuwe na some balance. Na hio balance haipatikani kwa kushindana woote muwe sawa. Mimi kutambua hilo haina maana sijitambui.... non-kujitambua... Sipo katika hio category, i would say maybe najitambua kupita kupita maelezo (I kid).

On a serious note... Wanawake hata tuseme tunataka haki sawa na wanaume... Kuna vitu hizo haki haziwezekani kupatikana... Siwezi jua the future but at present kuwakilisha wanawake majority ambao ndio wa kawaida wa katika jamii yetu bado nitasimamia kauli yangu. Hata hao mabibi ilikua inategemea the type of woman. Nina mfano halisi; nilikua close na bibi zangu woote wawili (may they rest in peace)... Mzaa mama alikua mpole sana, na alikiri kua hua anashangaa sana wanawake kusema wanasikia raha wakati wa tendo (yaani mpaka anakufa at age 72 hakuwahi kufika kileleni) Hali hapo hapo bibi yangu mzaa baba aliolewa mara 3; for the simple reason alikua hakubali mwanaume ambabaishe! Hivo sometimes what women do is not only defined in the era waliopo but the woman herself....
 
Huo upupu sijaugusa bado, kipindi cha mshahara anazamia kwa hawala, akishakua empty ndo ananiletea unga ili nimsongee ugali?? Aaa salalaa!!! Kwanza sidhani ka tutafika huko aisee! Kuna mambo ya kuvumilia, hawa kina mwigulu nchemba mie nina aleji nao sana tu!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom