Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
- Thread starter
- #21
Ngoja nitetee kwa hawara.......
Kwa hawara kazi ni moja tu ambayo haitajalisha ni muda gani umeenda
Kwa hawara kuna 'privacy' kama umeamua kwenda kupumzika, hakuna cha shangazi, shemeji, au vilio vya watoto, na hata simu unazima au wakikupigia unawaambia uko busy
Kwa hawara its all budhism, living for that particular moment, hawara hawezi kukusumbua sana kwa mijadala mikubwa ya kihistoria au mbele (future). Akiomba pesa kama unazo unampa, kama huna anakutoa baruti kishney
Kwa hawara kila kitu ni customized kwa ajili yako, na yako tu
Nimeipenda hii tathmini...japo imepinda lol