Miswaada inaletwa kwa hati ya dharula ili ijadiliwe faster......., au wabunge wapitishe kama ilivyo? Tuombe mungu iwe mizuri.
Utakuwa una -underrate uwezo wa mbunge wa Geita!!
Miswaada inaletwa kwa hati ya dharula ili ijadiliwe faster......., au wabunge wapitishe kama ilivyo? Tuombe mungu iwe mizuri.
But if it were evaded taxes??Every Victory has a sacrifice! Tunakubali tulipoteza vitu na watu but it should be no more in and after Ngosha's Era
Naona mkolomije mishipa inakusimamaSifa kubwa ya rais wa awamu ya tano ni kutotabirika kwake. Na kwa sababu hatabiriki basi hata ubora wake ni vigumu kuweza kuutambua, kama umezoea maisha ya kukariri matukio.
Ulimpongeza lkn leo spika analia na mikataba.Rais Magufuli ninakupongeza wewe na wale wote waliokushauri ili kumteua Prof. Kabudi katika nafasi ya Waziri wa Katiba na Sheria.
Prof. Kabudi na timu yake ya wanasheria wameanza kutoa matunda yao mema kwa taifa kupitia kazi zao kama zilivyobainika kwenye miswada hii.
Kwa miswada hii iliyopelekwa bungeni ili kujadiliwa na kuwa sheria haina maneno mengi lakini yaliyopo yamejaa umuhimu mkubwa kisheria kwa maslahi ya taifa, sina shaka kwa kiwango kikubwa taifa litakuwa limeingia katika ukurasa mpya katika safari ya kulinda maliasili zake ili zinufaishe taifa kwa kizazi hiki na kijacho.
Kama Rais Magufuli alivyosema, ‘’tulichelewa lakini kama taifa tumeamua kufika’’ na kwa miswada hii ninatumaini tutafika.
Yaliyopo katika miswada hii ya sheria ni pamoja na;
>>Bunge kupitia mikataba yote ya maliasili za nchi kuangalia maslahi ya Watanzania na baada ya kubaini masharti hasi katika mikataba hiyo Bunge linaweza kuitaka Serikali kufanya majadiliano upya na upande wa pili wa mkataba ili kuondoa masharti hayo.
>>Kuweka utaratibu wa bunge kufanya mapitio na maridhiano ya mikataba.
>>Kufanya mapitio madaraka ya Waziri na Kamishna wa madini.
>>Kuimarisha mifumo ya uthibiti na uwajibikaji katika sekta ya madini na petrol.
>>Kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato kwenye sekta ya madini na petrol.
Kwa wale wanataka kuisoma hiyo miswada Gonga hapa;
LINK>>Miswada ya marekebisho ya sheria za maliasili
Hizi ni baadhi ya contents zilizoko kwenye miswada.
View attachment 532776
View attachment 532777
Hii retro-respecective itawezekana?unga Mkono Hoja.
Miswada hii ikipita hivi hivi ilivyo, na kama itakuwa applicable retro respectively kwa mikataba tayari iliyopo, then Tanzania tutakuwa tumevunja mikataba yote ya uwekezaji kwenue maliasili zetu, hakuna cha IICD wala MIGA, mambo yote ni Sheria za Tanzania!, huu ndio uzalendo, huu ndio uanamume, na kama hawataki, wafungashe, wakwende zao
Kitakachofanyika ni re negotiations na kukubali kuivunja mikataba iliyopo amicably na kuingia mikataba mipya kwa sheria mpya. Accacia wameishakubali, hivyo itavunjwa na kuundwa kampuni mpya kwa sheria mpya.Hii retro-respecective itawezekana?
Chepe la kufukulia hili kaburi uliazima kwa nani?Ulimpongeza lkn leo spika analia na mikataba.
Welcome again I hope uko na afya njema wengine tukadhani umejiteka au ulikuwa maganzo ukivuna mahindi.Kitakachofanyika ni re negotiations na kukubali kuivunja mikataba iliyopo amicably na kuingia mikataba mipya kwa sheria mpya. Accacia wameishakubali, hivyo itavunjwa na kuundwa kampuni mpya kwa sheria mpya.
P