Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikitamani kuhamia katika Jiji la Port Moresby-Papua New Guinea

Poluyakhtov

JF-Expert Member
May 9, 2017
353
296
Habari za muda huu wadau wa JF.

Kama mada inavyojieleza,Nikiwa kijana wa Kitanzania anayependa sana masuala ya adventures,nimekuwa nikitamani angalau siku moja kusafiri umbali wa 11840KM, kutoka Dar Es Salaam mpaka Port Moresby huko kwenye bahari ya Pacific ndani ya Papua New Guinea.

Nasikia nchi hii ni tajiri sana kwa rasilimali na ipo kaskazini ya Bara la Australia.Siyo siri moyo wangu unaipenda sana hii nchi na ni ndoto yangu kufika huko someday.

Ingawa sina utajiri wowote kwa sasa naamini ipo siku naweza kufika huko.

Tafadhali kwa anayejua ujanja wa kufika nchi kama Australia hata kwa kuzamia kwa meli za mizigo anijulishe wakuu.

Naipenda sana Port Moresby,nisaidieni kimawazo kufika huko wadau.

Pia,napenda kujua kama kuna balozi wa Papua hapa Tanzania.Najua nikipata maujanja ya kufika huko Oceania,nitakuwa na uwezo wa kwenda mpaka katika kisiwa cha Howland huko alikojaribu kufika bibi yetu Amelia Earhart,lakini aka-disappear without trace pamoja na navigator wake Fred Noonan.

Wale mliowahi kuzamia,karibuni sana.
Screenshot_20190131-181553.jpeg
apr-lihir_drugproducers-pngloop-680wide.jpeg
POM-Aerial_edit_700.jpeg
PNG-survey-1024x464.jpeg
 
Hiyo nchi ni risk sana kuishi kuna matetemeko almost kila mwaka kuna uchawi na tamaduni za kijinga sana huko inasemekana watu wenye akili ndogo kuliko wote duniani hutokea huko..ni visiwa vya ajabu sana hivyo sikushauri kwenda huko usihadaike na picha za kwenye mitandao
20190716_043355.jpg
 
Hiyo nchi ni risk sana kuishi kuna matetemeko almost kila mwaka kuna uchawi na tamaduni za kijinga sana huko inasemekana watu wenye akili ndogo kuliko wote duniani hutokea huko..ni visiwa vya ajabu sana hivyo sikushauri kwenda huko usihadaike na picha za kwenye mitandaoView attachment 1154694
Blacks tuna shida sana.
Mahali popote tulipo duniani tunafanana. Uwezo wa kufikiri na kufanya mambo makubwa na ya maana ni mdogo sana sana.
 
Hiyo nchi ni risk sana kuishi kuna matetemeko almost kila mwaka kuna uchawi na tamaduni za kijinga sana huko inasemekana watu wenye akili ndogo kuliko wote duniani hutokea huko..ni visiwa vya ajabu sana hivyo sikushauri kwenda huko usihadaike na picha za kwenye mitandaoView attachment 1154694

Unakuwa kama mabepari wanaokuja wakiamini Africa kuna nyani na magonjwa tu!

Hizo picha ni kama za Kimasai tu, ukija Dar huwezi kuwaona, so wanafuata vijiji vilivyoshikilia tamaduni wanajifunza na kuchukua mabaya yao na kuyatangaza duniani then mema wanayakalia!

Nako kuna miji iliyochanganyika na jamii mbali mbali pia!
 
Unakuwa kama mabepari wanaokuja wakiamini Africa kuna nyani na magonjwa tu!

Hizo picha ni kama za Kimasai tu, ukija Dar huwezi kuwaona, so wanafuata vijiji vilivyoshikilia tamaduni wanajifunza na kuchukua mabaya yao na kuyatangaza duniani then mema wanayakalia!

Nako kuna miji iliyochanganyika na jamii mbali mbali pia!

Kama unaenda kama adventure sawa tu lin kwenda kuishi huko hapana.. kwanza wana tabia moja ya kijinga sana kwamba wanasema wao si waafrika ni wa ocean pasific na hawaipendi kbs africa.. nimeishi na baadhi yao wanakera sana hao watu
. Nili enjoy sana kuishi na watu wa FIJI kwanza wenyewe wanatambua asili yao kuwa ni africa hasa Tanzania na hata ule mji wao wa TAGANIKA unatokana na "Tanganyika " wenyewe wanaamini huku ndio asili yao halafu ni very cool wale watu halafu wanawake wao wazuri " beautiful" wale wakikutana na watu toka Tz wanafurahi sana..just speaking from experience nimeishi kwa nyakati tofauti na hao watu..Kama kweli.mtu anataka kwenda ukanda ule you better go FIJI not PNG ..
images (28).jpeg
1674649-bula-welcome-to-fiji-beautiful-vacation-and-travel-photocase-stock-photo-large.jpeg
images (27).jpeg
 
Habari za muda huu wadau wa JF.

Kama mada inavyojieleza,Nikiwa kijana wa Kitanzania anayependa sana masuala ya adventures,nimekuwa nikitamani angalau siku moja kusafiri umbali wa 11840KM, kutoka Dar Es Salaam mpaka Port Moresby huko kwenye bahari ya Pacific ndani ya Papua New Guinea.

Nasikia nchi hii ni tajiri sana kwa rasilimali na ipo kaskazini ya Bara la Australia.Siyo siri moyo wangu unaipenda sana hii nchi na ni ndoto yangu kufika huko someday.

Ingawa sina utajiri wowote kwa sasa naamini ipo siku naweza kufika huko.

Tafadhali kwa anayejua ujanja wa kufika nchi kama Australia hata kwa kuzamia kwa meli za mizigo anijulishe wakuu.

Naipenda sana Port Moresby,nisaidieni kimawazo kufika huko wadau.

Pia,napenda kujua kama kuna balozi wa Papua hapa Tanzania.Najua nikipata maujanja ya kufika huko Oceania,nitakuwa na uwezo wa kwenda mpaka katika kisiwa cha Howland huko alikojaribu kufika bibi yetu Amelia Earhart,lakini aka-disappear without trace pamoja na navigator wake Fred Noonan.

Wale mliowahi kuzamia,karibuni sana.View attachment 1009717View attachment 1009718View attachment 1009719View attachment 1009720
Kama una nia utafika kwa namna yoyote.
Jilipue uzamie meli na njia rahisi inabidi ukapandie South Africa.

Bon Voyage
 
Back
Top Bottom