johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!