Kwa miaka 20 tunashiriki uchaguzi, CHADEMA hatujakubalika, yaliyotokea Zambia hayawezi kutokea hapa Tanzania

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

CHADEMA haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa CCM bado bado sana.

Tukubali ukweli
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Hizi taarifa kampe nokho! Ukiwa CCM lazima akili ukabidhi kwa Shaka wewe ubaki na kopo tupu!
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Ni ukweli kabisa, Chadema haijawahi kuaminiwa na watanzania. Watu wanaiona kama chama cha wahuni fulani na mawakala wa mabeberu. Hili la ugaidi ndilo sasa limeipeleka rasmi topeni.
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Chama mbadala bado sana eeh? OK, tuanzie hapo. Tunajuaje kwamba ccm imechokwa au la? Kwa uchaguzi. Uchaguzi huru na wa haki.

Sasa jiulize. Inakuwaje Magufuli aliyefanya kampeni miaka 5 mfululizo, wapinzani wamezibwa midomo wasifanye mikutano. Wanaambiwa baada ya uchaguzi siasa zinahamia Bungeni. Lakini Magufuli anamwagiza Spika Ndugai ....Naam, anamwagiza japo ni mhimili mungine, kwamba washughulikie wapinzani ndani ya Bunge, yeye atawashughulikia nje ya Bunge. Kwamba Magufuli kahutubia huku na kule, TV na Redio zinatangaza, magazeti yoote yamedhibitiwa, miaka 5, ungetarajia rais anajiamini, kafanya mengi tena makubwa, yametangazwa kila uchao, lakini unashangaa bado Tume ya Uchaguzi inaengua wagombea wa upinzani kwa maelfu, wa ccm haenguliwi hata mmoja. Mgombea wa urais wa upinzani anazuiliwa kwenda baadhi ya maeneo. Hii hofu ya Magufuli inatoka wapi ??? Of course wanajua kwamba watz wamewachoka. Waachie wananchi waamue, tuujue ukweli mchungu...kwa ccm
 
umenena kweli.
Bado kwa sasa Tanzania hatuna Chama cha Upinzani Imara na Madhubuti, angalu kati ya mwaka 2000, 2005 na 2010 vyama vya upinzani vilikuwa imara na madhubuti kwa sababu vilikuwa na viongozi imara. lkn kuanzia mwaka 215, 2020 vyama vya upinzania vimekosa viongozi madhubuti ndio maana tumeshuhudia inapo fika kipindi cha uchaguzi Mkuu vina kopa viongozi viongozi wa kugombea nafasi ya Urais.
yaani vyama vya upinzani kwa Tanzania vipo kwa ajili ya kula ruzuku.
 
Chama mbadala bado sana eeh? OK, tuanzie hapo. Tunajuaje kwamba ccm imechokwa au la? Kwa uchaguzi. Uchaguzi huru na wa haki.

Sasa jiulize. Inakuwaje Magufuli aliyefanya kampeni miaka 5 mfululizo, wapinzani wamezibwa midomo wasifanye mikutano. Wanaambiwa baada ya uchaguzi siasa zinahamia Bungeni. Lakini Magufuli anamwagiza Spika Ndugai ....Naam, anamwagiza japo ni mhimili mungine, kwamba washughulikie wapinzani ndani ya Bunge, yeye atawashughulikia nje ya Bunge. Kwamba Magufuli kahutubia huku na kule, TV na Redio zinatangaza, magazeti yoote yamedhibitiwa, miaka 5, ungetarajia rais anajiamini, kafanya mengi tena makubwa, yametangazwa kila uchao, lakini unashangaa bado Tume ya Uchaguzi inaengua wagombea wa upinzani kwa maelfu, wa ccm haenguliwi hata mmoja. Mgombea wa urais wa upinzani anazuiliwa kwenda baadhi ya maeneo. Hii hofu ya Magufuli inatoka wapi ??? Of course wanajua kwamba watz wamewachoka. Waachie wananchi waamue, tuujue ukweli mchungu...kwa ccm
Jifunze kuwa precise
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Kama Chadema haikubaliki mbona mnatumia jeshi la polisi kutaka kuififisha? Leteni uwanja uliosawa kisiasa ili tujue ukweli wa mambo
 
umenena kweli.
Bado kwa sasa Tanzania hatuna Chama cha Upinzani Imara na Madhubuti, angalu kati ya mwaka 2000, 2005 na 2010 vyama vya upinzani vilikuwa imara na madhubuti kwa sababu vilikuwa na viongozi imara. lkn kuanzia mwaka 215, 2020 vyama vya upinzania vimekosa viongozi madhubuti ndio maana tumeshuhudia inapo fika kipindi cha uchaguzi Mkuu vina kopa viongozi viongozi wa kugombea nafasi ya Urais.
yaani vyama vya upinzani kwa Tanzania vipo kwa ajili ya kula ruzuku.
CHADEMA wamekataa ruzuku yenu. Jenga hoja upya
 
Ni ukweli kabisa, Chadema haijawahi kuaminiwa na watanzania. Watu wanaiona kama chama cha wahuni fulani na mawakala wa mabeberu. Hili la ugaidi ndilo sasa limeipeleka rasmi topeni.
Unajua unachokisema? Ingekuwa kweli, basi CHADEMA wasingeweza kuongeza idadi ya wabunge kila uchaguzi, na idadi ya kura za urais zimepanda kila uchaguzi. Kura alizopata Slaa 2010 ni zaidi ya alizopata Mbowe 2005. Alizopata Tundu Lissu 2020 ni zaidi ya alizopata Slaa, pamoja na wizi wa kura wa ccm.
Kama ni chama cha wahuni, inakuwaje watanzania wamezidi kukiamini kila uchao? Hujui usemalo. Unaropoka.
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli

CCM haijawahi kushinda uchaguzi tangu mwaka 2005 hadi 2020.

Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
CCM haijawahi kushinda uchaguzi tangu mwaka 2000-2020.

Bila polisi na wizi wa kura CCM ni kama saccos ya mtaani.
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Unayo matatizo makubwa sana katika kichwa chako.
 
Unajua unachokisema? Ingekuwa kweli, basi CHADEMA wasingeweza kuongeza idadi ya wabunge kila uchaguzi, na idadi ya kura za urais zimepanda kila uchaguzi. Kura alizopata Slaa 2010 ni zaidi ya alizopata Mbowe 2005. Alizopata Tundu Lissu 2020 ni zaidi ya alizopata Slaa, pamoja na wizi wa kura wa ccm.
Kama ni chama cha wahuni, inakuwaje watanzania wamezidi kukiamini kila uchao? Hujui usemalo. Unaropoka.
Hapa tunazungumzia uwezekano wa Chadema kushinda uchaguzi, siyo margin ndogo ya kura zake kuongezeka ambayo inaweza kuwa ni factor ya population growth tu ya Tanzania kutoka 2010 mpaka 2020. Tambua kuwa population growth yetu ni zaidi ya 2. 5% kila mwaka. Sijakuelewa unaposema idadi ya wabunge wa Chadema wa kuchaguliwa imeongezeka 2020, yaani chama kuwa na mbunge mmoja?
 
CCM haijawahi kushinda uchaguzi tangu mwaka 2000-2020.

Bila polisi na wizi wa kura CCM ni kama saccos ya mtaani.
Ndiyo mnavydanganywa na DJ. CCM ilishinda uchaguzi kwa kura nyingi. Kila siku tunawambia watanzania wakiamua chama chochote kiingie madarakani kitaingia. Polisi hawana uwezo wa kuzuia mass. CHADEMA haipendwi ndiyo mana haina support. Lissu alishawishi watu waandamane wakabaki wanamshangaa tu. Kesi ya Mbowe hadi mmeamua kukodi kwa malipo watu wa kuandamana na kushika mabango!

CHADEMA kilishatupa sera za kutetea mass na kukumbatia sera za kujenga chuki ambazo zinavuta wachache;
  1. Matajiri wasitozwe Lodi kubwa!
  2. Watanzania wote wachanjwe dhidi ya korona!
  3. Tunataka katiba mpya!
  4. Rugemarira na Seth Singh wameonewa!
  5. Na ujinga mwingine mwingi tu
Siku mkipata viongozi wanaotumia akili kama Dr Slaa ndiyo angalau CHADEMA itafufuka!
 
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli.

Chadema haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma.

Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe lazima kije chama mbadala.

Hapa Tanzania hali si hivyo,maana mbadala wa Ccm bado bado sana.

Tukubali ukweli
Kamanda Asiyechoka. Unahangaika na Mambo ya Chadema sana, ungekua unahangaika na Mambo yako binafsi Kama unavyohangaika na Chadema ungekua hupangi vyumba viwili uswahilini unakokaa Sasa.
 
Ndiyo mnavydanganywa na DJ. CCM ilishinda uchaguzi kwa kura nyingi. Kila siku tunawambia watanzania wakiamua chama chochote kiingie madarakani kitaingia. Polisi hawana uwezo wa kuzuia mass. CHADEMA haipendwi ndiyo mana haina support. Lissu alishawishi watu waandamane wakabaki wanamshangaa tu. Kesi ya Mbowe hadi mmeamua kukodi kwa malipo watu wa kuandamana na kushika mabango!

CHADEMA kilishatupa sera za kutetea mass na kukumbatia sera za kujenga chuki ambazo zinavuta wachache;
  1. Matajiri wasitozwe Lodi kubwa!
  2. Watanzania wote wachanjwe dhidi ya korona!
  3. Tunataka katiba mpya!
  4. Rugemarira na Seth Singh wameonewa!
  5. Na ujinga mwingine mwingi tu
Siku mkipata viongozi wanaotumia akili kama Dr Slaa ndiyo angalau CHADEMA itafufuka!
Mkuu umegusa penyewe.
 
Back
Top Bottom