so who
Member
- Oct 28, 2011
- 73
- 7
LEO BUNGENI NIMEONA KITENISI KINGINE KIMEELEKEZWA KWENYE OFISI YA WAZIRI MKUU NAMNUKUU MHESHIMIWA ZITTO KABWE (mb) WAZIRI KIVULI JE HAPA HII OFISI YA WAZIRI MKUU ITATUELEZA NINI KWENYE NCHI AMBAYO INAFUATA MFUMO WA FEDHA WA IFRS NA IPSAS KWA KITENNISI HIKI TUNAOMBAMAELEZO YA KINA MHESHIMIWA MTOTO WA MKUU LIMA LASIVYO KAULI YAKO YA KWAMBA UNAANZA SAFISHA SERIKSLI NA KASHFA UTAKUWA ULIKUWA UNATUPIGA MAGIRINI TU
NAMNUKUU;
Hitimisho Fedha za Rada Mheshimiwa Spika,
Wakati Kamati za Bunge zilipokaa kujadili taarifa ya Serikali kuhusu Mfumo wa Mapato na Matumizi, Waziri wa Fedha na Uchumi alitoa Taarifa kuhusu Fedha za Rada zilizorejeshwa, jumla ya shilingi 72.3 bilioni ambazo zilipokelewa tarehe 26 Machi, 2012. Kwa mshtuko wa Wabunge, Waziri aliiambia Kamati kuwa mchakato wa manunuzi ya vitabu na madawati kwa kutumia fedha hizi ulikuwa umeanza chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI. Fedha hizi hazijawahi kupitishwa na Bunge lako tukufu.
Kitendo cha Serikali kuzitumia kabla ya kupitishwa na Bunge ni kuvunja sheria za Fedha kuhusiana na masuala ya Bajeti. Wakati Waziri akiwasilisha Hotuba yake hakugusia kabisa suala la fedha zilizorejeshwa kutokana na Ununuzi wa Rada! Mheshimiwa Spika, Kambi ya upinzani inataka maelezo ya Serikali juu ya Fedha hizi na utaratibu wa kuzitumia.
Kambi inataka kufahamu vigezo vilivyotumika kuteua mikoa ya Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam kutumia fedha hizi. Kambi pia inapenda kufahamu Deni lililochukuliwa kununua Rada hii iliyoleta kashfa kubwa sana hapa nchini limefikia kiasi gani kulilipa na tukililipa tutakuwa tumelipa kiasi gani kwa ujumla.
NAMNUKUU;
Hitimisho Fedha za Rada Mheshimiwa Spika,
Wakati Kamati za Bunge zilipokaa kujadili taarifa ya Serikali kuhusu Mfumo wa Mapato na Matumizi, Waziri wa Fedha na Uchumi alitoa Taarifa kuhusu Fedha za Rada zilizorejeshwa, jumla ya shilingi 72.3 bilioni ambazo zilipokelewa tarehe 26 Machi, 2012. Kwa mshtuko wa Wabunge, Waziri aliiambia Kamati kuwa mchakato wa manunuzi ya vitabu na madawati kwa kutumia fedha hizi ulikuwa umeanza chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI. Fedha hizi hazijawahi kupitishwa na Bunge lako tukufu.
Kitendo cha Serikali kuzitumia kabla ya kupitishwa na Bunge ni kuvunja sheria za Fedha kuhusiana na masuala ya Bajeti. Wakati Waziri akiwasilisha Hotuba yake hakugusia kabisa suala la fedha zilizorejeshwa kutokana na Ununuzi wa Rada! Mheshimiwa Spika, Kambi ya upinzani inataka maelezo ya Serikali juu ya Fedha hizi na utaratibu wa kuzitumia.
Kambi inataka kufahamu vigezo vilivyotumika kuteua mikoa ya Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam kutumia fedha hizi. Kambi pia inapenda kufahamu Deni lililochukuliwa kununua Rada hii iliyoleta kashfa kubwa sana hapa nchini limefikia kiasi gani kulilipa na tukililipa tutakuwa tumelipa kiasi gani kwa ujumla.