Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Je unafahamu kuwa kifo cha reli na meli za mizigo katika ziwa Victoria ni biashara ya maroli na kampuni za usafirishaji za wakubwa ulio nao serkalini? Ukijaribu kufufua usafirishaji kwa njia ya reli na meli wataku Kolimba kabisa!! Watu wana fleet ya semi mpaka 100 na zaidi unafikiri watakubali magari yao yapaki ili ufufue uchumi na maendeleo ya common man????