MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Mh, hongera kwa majukumu yako ya ujenzi wa taifa.
Kwa niaba ya wakazi wa Msewe golani, ambao tupo katika kata ya ubungo jimboni kwako,tunapata kero kubwa ya maji kufuata kile tunachoweza kusema kuwa ni hujuma iliyofanywa na wasimamizi wa mradi wa maji ya kijiji chetu hasa ya kisima.
kero hii ya maji imeanza tangu mwezi wa tatu hadi leo maji hayapatikani kabisa. hata hivyo viongozi wa ule mradi wa maji uliokufa, ndo kwanza wamejiwekea sim tanks na kuwa ndo wauzaji wa maji kwa bei kubwa kwa manufaa yao wenyewe.
tunakuomba uje utusaidie kutatua kero hii kubwa sie wananchi wako
Kwa niaba ya wakazi wa Msewe golani, ambao tupo katika kata ya ubungo jimboni kwako,tunapata kero kubwa ya maji kufuata kile tunachoweza kusema kuwa ni hujuma iliyofanywa na wasimamizi wa mradi wa maji ya kijiji chetu hasa ya kisima.
kero hii ya maji imeanza tangu mwezi wa tatu hadi leo maji hayapatikani kabisa. hata hivyo viongozi wa ule mradi wa maji uliokufa, ndo kwanza wamejiwekea sim tanks na kuwa ndo wauzaji wa maji kwa bei kubwa kwa manufaa yao wenyewe.
tunakuomba uje utusaidie kutatua kero hii kubwa sie wananchi wako