Wapendwa, hata binadamu uwe na ukakasi kiasi gani ktk jamii yako, kuna mambo mengine utakuwa umeyatenda vizuri na watu itakuwa ni alama yako kwao, sipingi kwamba Hayati Magufuli alikuwa na mapungufu yake kama binadamu, ila kwa kupaa huku kwa bei ya bidhaa hapa nchini, mimi kama raia wa nchi hii nadiriki kusema "nimemkumbuka aliyekuwa rais wangu john pombe joseph magufuli).
Pumzika kwa amani Dkt. Magufuli.
Pumzika kwa amani Dkt. Magufuli.