Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,509
- 46,900
Ila kweli sisi wananchi sio kwamba hatupendi kulipa kodi lahasaha ila tunanyanyaswa sana jamani walipa kodi na pia elimu kwa mlipa kodi ni ndogo sana,bado hatujapewa elimu itakayotusaidia walipa kodi kutambua haki zetu,wapi ni halali yetu na wapi sio,