Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipaswa uende kwanza ukawasikilize ,ukiijua sheria ya kodi hapo ungewatoa knock out kabisaaaHabari wadau;
Ni hivi;Nilitembelewa na wakaguzi wa TRA ofisini kwangu.Walipofika walianza kuniuliza maswali mengi na nikawapa nyaraka zote walizotaka na kwa mujibu wa Taarifa zangu kodi yangu nilishalipa yaani sikuwa na deni.
Basi baada ya kuona niko safi wakaanza kuniuliza maswali ya kipuuzi.Moja wapo ilikuwa niwaonyeshe risiti ninazowapa wateja wanaponunua nikawapa wakajumlisha sana kisha wakasema mbona kodi unayolipa ni ndogo kuliko mapato yako?
Nikawatazama kwa jicho la dharau kisha nikiwauliza kivipi?Wakanipa maelezo mazuri sana.Nikiwaambia hivi kodi inatozwa kwenye faida au kwenye mapato wakasema kwenye faida basi nikawaulizambona hamjauliza taarifa za matumizi?Wakasema tupatie basi nikawapatia.
Katika matumizi ikaonekana kwa faida ninayopata basi hata kodi ninayolipa nikubwa hivi inabidi nipunguze kiwango cha kodi kwani kwa faida niliyopata ni kama vile tunagawana robo kwa 75.Yaani mimi nabaki na 25 wao wanakula 75% ya faida yangu.
Walipoona hivo wakaanza kukagua risiti zangu za matumizi,kwa kuwa mimi ni mjasiriamali na biashara yangu ni ya kuuza chakula kwa hiyo kiasi kikubwa cha manunuzi yangu hayana risiti kwa hiyo tulianza kubishana sana na hawa watu wakaweka kofuli kwenye ofisi yangu wakitaka niende TRA ofisini kwao.
Kiukweli kutokana na biashara kuwa ngumu na kwa kuwa kodi yangu inaisha mwisho wa mwezi wa pili niliwaambia sawa na walipomaliza kufunga usiku nimeita fundi welding nimevunja lile kofuli lao nimebeba materials zangu zote,kisha nimeenda polisi kufungua kesi kuwa nimevamiwa na majambazi wameiba kila kitu.na niko hapa TRA na RB yangu ya kuibiwa nawaona wanavojichnaganya tu kunitishia huku wakifikiri mimi sielewi ninachofanya.Yaani mfungie masufuria yanu,bakuli,majiko nakadhalika kwa sababu tu mnataka kunikamua.
Kakamueni wake zenu na kama mmechafukwa mnifunge basi ila kodi silipi tena huko ninakoenda naenda kufungua biashara bila kulipa kodi.Huu wizi wizi sitaki tena kufanyiwa nimechoka
sipo mzee for 9months na nitamaliza miaka.Mkuuu Kama umefunga biashara unafanya nn sasa Kama hutojali tukutane tupange nn cha kufanya nna kimtaji kidogo na mm
Ikoje hiyo mkuuMm baada ya kuona kuwa TRA ni mfilisi nimeamua kufanya online busns, TRA wananisikia tu na faida kwa sasa naiona tofaut na mwanzo
Ivi hili deni bado wanatudai kumbe! Mie haaaaaaata sijawahi kupata hata maumivu ya kichwa kukumbuka hii insue napiga zangu mishe taratibu napata pesa ya kula! Baba alikuwa analipa kodi ilikuwa haki wanipe pesa ya kusomea chuo!Huu ukenge huu, ndio unaharibu nchi!! Mie upande wa bodi ya mikopo labda waje na RPG wanilipue, silipi ng'ooo. Eti wameniewekea na faini, he he heeee! Wanifuate huku kwenye biashara yangu ya mchanga!!
Sasa wewe unakataa kwa sababu unajua au unakataa kwa sababu una wenge?Kama huelewi we nenda kakaange maandazi uleKwamba TRA wamekua wakichukua 75% ya faida na wewe 25% ni uongo wa kishamba.
TRA wanaendelea kushinda kwa sababu tunajisndwa kuwapinga kwa hoja za kitaalam.
Sasa wewe unakataa kwa sababu unajua au unakataa kwa sababu una wenge?Kama huelewi we nenda kakaange maandazi ule
Na viberitiKigongo ferry pantoni haifanyikazi masaa 24, ikifika saa mbili hakuna tena magari yanayovuka, tumebakiza kukusanya kodi kwenye mahindi na maharage.
Sasahivi wanalazimisha tu....kama una mauzo ya elfu 15 unalazimishwa kuchukua efd... Efd yenyewe inauzwa laki 7....efd wakati biashara ImeporomokaHiyo mashine ni kwaajili ya wateja wanaofanya mauzo/mtaji kuanzia 14M.
Wewe mbona mauzo yako ni kawaida tu?
Game la biashara ya vifaa vya ujenzi imekuwa tight sana....competition nayo imekuwa kali sana competition in price and distribution plus gvt ya sasa na other cost no profit ....nimefunga hiyo biasharaNiko mbion kufunga duka la vifaa vya ujenz, mwez 4 huu linasoma -ve tuu..ni use*nge mtup..hyo mashine ya efd ni changamoto,wanavyoidai utafkir walinikopesha..nmegoma,siinunui na nafunga biashara mwez ujao..au mwez huu,si ndo wanavotaka hiv wote turud kolomije..
Unalipa Withholding tax huku mwenye nyumba amelipa kodi ya jengo hawezi kukurudishiajamaa walivyonichosha wameniambia nimlipie na mwenye Frem kodi alafu mimi nikamdai hiyo hela.