Kwa Mfano Likitokea Nani Atafaa??

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Nimejiuliza Swali kwa Mfano ikitokea wale wote waliowekwa nje ya uongozi kipindi hiki(Kutenguliwa) wakiamua kuanzisha chama chao cha Siasa Je...

Jina litapendeza kuitwa chama hicho?

Na Nani atafaa kuwa Mgombea wao Wa Uraisi?

Nimewaza Tu lakini ila Sidhani kama litaweza kutokea.
 
Unadhani chama cha siasa kina kinaanzishwa kama kikundi cha vikoba sidhani kama inaweza tokea
 
Nimejiuliza Swali kwa Mfano ikitokea wale wote waliowekwa nje ya uongozi kipindi hiki(Kutenguliwa) wakiamua kuanzisha chama chao cha Siasa Je...

Jina litapendeza kuitwa chama hicho?

Na Nani atafaa kuwa Mgombea wao Wa Uraisi?

Nimewaza Tu lakini ila Sidhani kama litaweza kutokea.
waza kimya kimya, usiwaze kwa maandishi!
 
Nadhani una maana kubwa zaidi ya ulichoandika! Wenye kuelewa wameelewa
 
Nimejiuliza Swali kwa Mfano ikitokea wale wote waliowekwa nje ya uongozi kipindi hiki(Kutenguliwa) wakiamua kuanzisha chama chao cha Siasa Je...

Jina litapendeza kuitwa chama hicho?

Na Nani atafaa kuwa Mgombea wao Wa Uraisi?

Nimewaza Tu lakini ila Sidhani kama litaweza kutokea.
Kwani hawakifahamu?
TLP -Tanzania Labour Party
 
Nimejiuliza Swali kwa Mfano ikitokea wale wote waliowekwa nje ya uongozi kipindi hiki(Kutenguliwa) wakiamua kuanzisha chama chao cha Siasa Je...

Jina litapendeza kuitwa chama hicho?

Na Nani atafaa kuwa Mgombea wao Wa Uraisi?

Nimewaza Tu lakini ila Sidhani kama litaweza kutokea.
Ukiota ndoto hua unafanya na vitendo,,,,
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom