TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Kwa jinsi Mazingira yanavyokwenda, na Mchezo mchafu sana Unaosukwa na Magufuli na CCM, hali sio nzuri kabisa kwa UKAWA 2020.
Kuna wanaoshauri UKAWA wasusie Uchaguzi 2020 Kama hakuna katiba mpya na tume mpya ya Uchaguzi, hilo likitokea CCM wataona ninsherehe, Kadhalika bado UKAWA wakishiriki Uchaguzi bado kwa CCM ni sherehe!
Mtego mkubwa uliopo ni kuwa Wabunge wengi Siasa ubunge kwao ni sehemu ya ajira. Hata tume na katiba ikiwa mbovu kiasi gani, Ili mradi kuna uwezekano wa wao kushinda ubunge, ukiwakataza kugombea Ubunge watakimbilia CCM wapo wachache majasiri, lakini wasaliti kama Joshua Nasari watakimbilia CCM kwa Speed ya supper sonic.
Pia huo ni mtego mbaya sana kwani tumeona CCM ni kama mafisi wasiojali kula kiungo cha mnyama ambaye bado anatembea au nyama ya mzoga ambao umeoza kiasi cha kutoa usaha! kugomea uchaguzi kwao itakuwa ni sherehe na njia ya mkato ya kuiua CHADEMA. Na kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Kutakuwa ni Mhururi wa Kuwasafishia CCM ushindi haramu wa urais ambao sina shaka watajitangazia hata kama kura za Urais watapata tano. Mfano halisi ni Zanzibar. Hata hivyo kama CHADEMA hawako tayari kufanya mambo kadhaa muhimu, ninaona ni bora washiriki uchaguzi hivyo hivyo. Lakini pia hofu mbaya zaidi ni kuwa Rais Magufuli kwa kukataza mikutano na akaona no body pushed away hard enough, msishangae bila aibu 2020 akalazimisha wagombea wa CCM watangazwe washindi majimbo ya upinzani hata kama mpizani ameshinda kwa asilimia 98 na yule wa CCM asilimia 2.
If a man will swim with crocodiles and they do nothing, he will be used of it! CCM na Rais Magufuli wameget away na uhuni mwingi, kunyanganya Komputer za UKAWA 2015 kimya, kufuta matokeo ya Zanzibar, kimya, kukataza mikutano ya vyama kimya, kumsindikiza na Polisi Lipumba kuvunja Ofisi za CUF, kimya. Tutashuhudia vituko 2020. Ni kwamba CCM uchaguzi mkuu hauna maana tena! Wao wameshaona wanaweza kufanya uhuni wowote kimacho macho na wasifanywe kitu na mtu yeyote.
I just want to warn Chadema/Ukawa this issue is no longer a laughing matter anymore, something deliberate and precise has to be done fast!
Mimi nina suluhisho la uhuni huu, bila shuruti CCM wenyewe wataomba iwepo Katiba mpya na Tume mpya ya uchaguzi, nitawatafuta UKAWA- CHADEMA only once, wakipuuza thats it. Baada ya hapo wanitafute wao au 2020 wabakie na Wabunge watatu (3)
Kuna wanaosema Ati wataaminije Kama CCM hawajanituma. Ni bora nife kuliko Kutumwa na yeyote hasa ikiwa ni CCM, Mimi ni Natural Leader ambaye sijawahi, siwahi wala sitawahi Kujipaka Mkorogo Kisiasa, As far as I am concerned what U see is what you get!
Kuna wanaoshauri UKAWA wasusie Uchaguzi 2020 Kama hakuna katiba mpya na tume mpya ya Uchaguzi, hilo likitokea CCM wataona ninsherehe, Kadhalika bado UKAWA wakishiriki Uchaguzi bado kwa CCM ni sherehe!
Mtego mkubwa uliopo ni kuwa Wabunge wengi Siasa ubunge kwao ni sehemu ya ajira. Hata tume na katiba ikiwa mbovu kiasi gani, Ili mradi kuna uwezekano wa wao kushinda ubunge, ukiwakataza kugombea Ubunge watakimbilia CCM wapo wachache majasiri, lakini wasaliti kama Joshua Nasari watakimbilia CCM kwa Speed ya supper sonic.
Pia huo ni mtego mbaya sana kwani tumeona CCM ni kama mafisi wasiojali kula kiungo cha mnyama ambaye bado anatembea au nyama ya mzoga ambao umeoza kiasi cha kutoa usaha! kugomea uchaguzi kwao itakuwa ni sherehe na njia ya mkato ya kuiua CHADEMA. Na kwa CHADEMA kushiriki Uchaguzi Kutakuwa ni Mhururi wa Kuwasafishia CCM ushindi haramu wa urais ambao sina shaka watajitangazia hata kama kura za Urais watapata tano. Mfano halisi ni Zanzibar. Hata hivyo kama CHADEMA hawako tayari kufanya mambo kadhaa muhimu, ninaona ni bora washiriki uchaguzi hivyo hivyo. Lakini pia hofu mbaya zaidi ni kuwa Rais Magufuli kwa kukataza mikutano na akaona no body pushed away hard enough, msishangae bila aibu 2020 akalazimisha wagombea wa CCM watangazwe washindi majimbo ya upinzani hata kama mpizani ameshinda kwa asilimia 98 na yule wa CCM asilimia 2.
If a man will swim with crocodiles and they do nothing, he will be used of it! CCM na Rais Magufuli wameget away na uhuni mwingi, kunyanganya Komputer za UKAWA 2015 kimya, kufuta matokeo ya Zanzibar, kimya, kukataza mikutano ya vyama kimya, kumsindikiza na Polisi Lipumba kuvunja Ofisi za CUF, kimya. Tutashuhudia vituko 2020. Ni kwamba CCM uchaguzi mkuu hauna maana tena! Wao wameshaona wanaweza kufanya uhuni wowote kimacho macho na wasifanywe kitu na mtu yeyote.
I just want to warn Chadema/Ukawa this issue is no longer a laughing matter anymore, something deliberate and precise has to be done fast!
Mimi nina suluhisho la uhuni huu, bila shuruti CCM wenyewe wataomba iwepo Katiba mpya na Tume mpya ya uchaguzi, nitawatafuta UKAWA- CHADEMA only once, wakipuuza thats it. Baada ya hapo wanitafute wao au 2020 wabakie na Wabunge watatu (3)
Kuna wanaosema Ati wataaminije Kama CCM hawajanituma. Ni bora nife kuliko Kutumwa na yeyote hasa ikiwa ni CCM, Mimi ni Natural Leader ambaye sijawahi, siwahi wala sitawahi Kujipaka Mkorogo Kisiasa, As far as I am concerned what U see is what you get!