Nassari kuwa msaliti huo ni Mtazamo wangu, Hoja kuu haimhusu Nassari, inahusu juu ya hatma ya Ukawa 2020 hayo ndio ya kuchangia!Kwahio leo hii mnamwona Nasari ni msaliti?
Wananchi Kama Kura zao na Sauti zao CCM wako kwenye position ya Kuzipuuza, Unadhani Matokeo yatakuwa nini?2020 haitakua Ukawa Vs Ccm mkuu, itakua ni Wananchi Vs Ccm
Afe mbwa, afe masai ila geti lisiguswe
Nassari kuwa msaliti huo ni Mtazamo wagu, lakini hoja kuu haimhusu Nassari ji hatma ya Ukawa 2020 hayo ndio ya kuchangia!
VitaWananchi Kama Kura zao na Sauti zao CCM wako kwenye position ya Kuzipuuza, Unadhani Matokeo yatakuwa nini?
Achana na solution ya kwenda msituni hiyo siyo solution, labda useme maandamano nchi nzima nitakuelewa
Ukuta tu ulishindikana, Vita ataanza nani? CCM wametest maji Kabla ya Kuyaoga, wameona uhuni na Unyama haujibiwi na wana impunity 100% sasa wamevua nguo, Magu amevua nguo kabisaa kupiga mbizi 2020!Vita
Nasikia mahakama ya mafisadi iko tayari. Si wawapeleke huko huyo fisadi kama kweli ni fisadi?Kushindwa kwa chadema kunatokana na kukumbatia Fisadi ambao wao wenyewe ndio waliowaeleza wananchi juu ya ufisadi wake.
Ushaona Fursa Unataka Kuitumia Kupata Pesa Ya Sikukuu Au Siyo ?Sio hapa Nadhani unanielewa, Sio hapa! Akina Mbowe wanitafute na sio Najitia Kiburi hata na mimj nitawatafuta, Ila nilikuwa Disappointed kiasi wakati wa Uchaguzi 2015 walikuwa in their heads kiasi walikuwa wanaignore ushauri, basi nikajitosa kivyangu kupiga kampeni. Sio kwa Upenzi juu ya Lowassa as a person kwani niliamini Mabadiliko ya Kweli yasingeletwa na CCM. Hata wakati wa Kampeni simumshambulia Magu, Nilimpenda, au niseme sikumjua sawaswa ni baada ya Udictator wake ndio amenitoka kama kohozi, hulitafuti tena kulimeza!
mwambie aendelee na ufisadi aoneNasikia mahakama ya mafisadi iko tayari. Si wawapeleke huko huyo fisadi kama kweli ni fisadi?
Mkuu ujue sio rahisi kabisa kuindoa ccm hasa pale juuUsione watu wako kimya ukadhani wameridhika. Kutesa kwa zamu wanasubiri muda uwadie ili wafanye maamuzi. Wanamezea tuu. kwa mwendo huu 2020 ccm out
Nope mimi nina mpunga wa kutosha, sema utakalo! Ni usiri wa solution yenyewe na sio kuwa nataka Kitu. Chadema hawana Uwezo wa Kuninunua mtu kama mimi my dear!Ushaona Fursa Unataka Kuitumia Kupata Pesa Ya Sikukuu Au Siyo ?
Usilolijua usiku wa kiza. hivi Zito alishinda kawekwa?Nadani unaongea hvyo ukiwa huelewi hasaa hali kaskazini ilivyo.....chadema tumebaki kuongea na kulalamika hamna kazi wanayofanya mbunge yupo ndani mpaka sahv hamna lolote jipya linaloshikika mpaka leo pale mjini...
Kwaupande wa nasari atachaguliwa tu pale meru kwasababu ndo mmbunge pekee anaye fanya kazi inayoonekana naanapendwa sana....
Ni kama ilivyokuwa kwa kigoma na zito kabwe alihama naakashinda kwa kishindo...upinza ni wamejisahao kwa namna moja ama nyingine game limebadilika nawao wanatakiwa kubadilika kuendana na siasa ya sasa
Mkuu mimi naelewa sana alichosema nasari.kwani kuna shida gani kusifu yale ya maendeleo kwa wananchi.Mkuu mleta mada mnamuonea sana bwana mdogo Nassari.
Kauli yake ya juzi wala haina tatizo...Ni kauli nzuri na ya kiungwana.Ndio maana hata wabunge wengine wa upinzani wanakiri kabisa kuwa hakuna mtu anaweza mpinga Rais JPM kwa yale mambo yanayoleta maendeleo kwa wote.Na hiki ndicho alichokisema Nassari...Utawezaje kumpinga mtu anayeleta maendeleo?Lkn sasa maendeleo na demokrasia/uhuru wa kujieleza yanaenda sambamba.Huo ndio msisitizo wa Josh Nassari.
Hilo suala la Wabunge wa UKAWA kurudi watatu bungeni...Mi naona kama watatu itakuwa wengi sana.Nafikiri 2020 Wabunge wa UKAWA wanaweza wasifike hata wawili tu wakuchaguliwa.Kwa sababu JPM ametengeneza "mpango kazi" wake matata sana.Hivi we unadhani Kayombo yule DED wa Ubungo ambaye ametokana na Shirikisho la Vyuo Vikuu-CCM anaweza kumtangaza Kubenea Ubungo na kuacha mbunge wa CCM?
Yaani kwa akili yako,hawa DED(ambao kisheria ndio Returning Officers) ambao kisheria ndio watangaza matokeo na kauli yao ndio hutangaza mshindi,watakubali kuwatangaza wabunge wa upinzani wakati na wao wote ni makada wa CCM??Sahau mkuu....2020 ni kishindo Kikuu!Kwa kuanzia na Lissu na Wabunge wote na madiwani wa Dsm....Jiji na Ikulu lazima iwe chini ya Chama
Mbaya zaidi inasemekana mahakama imekosa watu wakuwashitakiNasikia mahakama ya mafisadi iko tayari. Si wawapeleke huko huyo fisadi kama kweli ni fisadi?