JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,991
- 1,194
Ndugu zangu Great Thinkers hebu tujiulize haya yanayotokea na uhalali wake. Na sasa tufike mahali tuseme sote tena tukiwa na akili timamu kabisa pasipo shaka na pasipo ushabiki wowote kwamba sanduku la kura ndio suluhisho la kupata viongozi ambao wananchi wanawataka kwa ridhaa yao ili waweze kusimamia maendeleo wanayoyataka.
Tunakumbuka Rais mstaafu Jakaya Mrisho kikwete alianzisha mchakato wa katiba mpya naamini hakuwa mjinga kuna vitu aliviona ambavyo Mtawala wa sasa na waandamizi wake hawavioni, mimi na wewe hatujui kama hawavioni kwa sababu ya upeo wao mdogo au mkubwa katak kufikiri.
HV katika hali kama hii tutasema tunawadanganya wachache au tunawadanganya wengi na hasa ktk hiki kinachoendelea kuhusu uchaguzi.
Hivi katika mateso ya miaka mitano ndio CCM inashinda 100% je tunamdanganya nani?Kabla ya kuanza zoezi la UCHAGUZI tumekwenda kwenye nyumba za ibada Kumuomba MUNGU lkn baada ya kutoka humo tunarudi tunamfanyia dhihaka kwa kuendeleza WIZI na dharau kwake na kwa watu wake.
Ndugu zangu kuna kulipia wala tusijidanganye MUNGU anaona na naamini hapendezwi kwa sababu ni MTAKATIFU. KUMBE TUJUE ATA WAADHIBU WOTE WAFANYAO matendo hayo. TULINUSURU TAIFA.
Tunakumbuka Rais mstaafu Jakaya Mrisho kikwete alianzisha mchakato wa katiba mpya naamini hakuwa mjinga kuna vitu aliviona ambavyo Mtawala wa sasa na waandamizi wake hawavioni, mimi na wewe hatujui kama hawavioni kwa sababu ya upeo wao mdogo au mkubwa katak kufikiri.
HV katika hali kama hii tutasema tunawadanganya wachache au tunawadanganya wengi na hasa ktk hiki kinachoendelea kuhusu uchaguzi.
Hivi katika mateso ya miaka mitano ndio CCM inashinda 100% je tunamdanganya nani?Kabla ya kuanza zoezi la UCHAGUZI tumekwenda kwenye nyumba za ibada Kumuomba MUNGU lkn baada ya kutoka humo tunarudi tunamfanyia dhihaka kwa kuendeleza WIZI na dharau kwake na kwa watu wake.
Ndugu zangu kuna kulipia wala tusijidanganye MUNGU anaona na naamini hapendezwi kwa sababu ni MTAKATIFU. KUMBE TUJUE ATA WAADHIBU WOTE WAFANYAO matendo hayo. TULINUSURU TAIFA.