Kwa mazingira ya barabara za vumbi chuma ipi itafaa kati ya Subaru Forester, Prado, Rav4 na Vanguard!

Tetramelyz

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
4,351
12,396

Attachments

  • IMG_20210726_111258.jpg
    IMG_20210726_111258.jpg
    47.3 KB · Views: 66
Labda ngoja nikupe elimu ya bure fasta.SUV zipo aina nne ambazo ni:

1.Full size SUV:Mfano Prado,VX,V8.

2.Mid size SUV:Mfano Kluger,Vanguard,Harrier,Suzuki Escudo,etc

3.Crossovers SUV:Honda CR-V,RAV4,Subaru forester.

4.Mini SUV:Mfano Cami,Suzuki kei,Suzuki Swift,Terrois kid.

Prado ni full size SUV wakati akina Kluger na Vanguard ni mid size.Kwa hiyo ni makosa kulinganisha SUV ambazo ni full size pamoja na Mid size au crossovers.

Kumbuka katika mtiririko huo hapo juu ubora wa gari unapungua jinsi unavyoshuka chini,yaani SUV za full size ni nzuri zaidi kuliko SUV za mid size.How come sasa unalinganisha Prado ambayo ipo class A(Full size SUV) na Subaru forester ambayo ipo class C(Crossovers)?!Kwa hiyo hapo Prado ndiyo gari bora kuliko zote ulizotaja hapo.
 
Labda ngoja nikupe elimu ya bure fasta.SUV zipo aina nne ambazo ni:

1.Full size SUV:Mfano Prado,VX,V8.

2.Mid size SUV:Mfano Kluger,Vanguard,Harrier,Suzuki Escudo,etc

3.Crossovers SUV:Honda CR-V,RAV4,Subaru forester.

4.Mini SUV:Mfano Cami,Suzuki kei,Suzuki Swift,Terrois kid.

Prado ni full size SUV wakati akina Kluger na Vanguard ni mid size.Kwa hiyo ni makosa kulinganisha SUV ambazo ni full size pamoja na Mid size au crossovers.

Kumbuka katika mtiririko huo hapo juu ubora wa gari unapungua jinsi unavyoshuka chini,yaani SUV za full size ni nzuri zaidi kuliko SUV za mid size.How come sasa unalinganisha Prado ambayo ipo class A(Full size SUV) na Subaru forester ambayo ipo class C(Crossovers)?!Kwa hiyo hapo Prado ndiyo gari bora kuliko zote ulizotaja hapo.
Shukran kwa elimu kiongozi.
 
Ni mkoani kabisa, hakuna lami ni full vumbi... Gari ipi kati ya hizi itafaa kwa mazingira hayo?

Pia waweza recommend models zingine zinazofanania muundo huo wa SUV for convenience.

Subaru ya 2007 ni 8.1m, ya 2010 ni 8.6m, Rav4 ni 12m, Vanguard ni 14 na hiyo Prado ni 24m + usafiri na inspection.

Nawasilisha ....
View attachment 1868756View attachment 1868757View attachment 1868758View attachment 1868759View attachment 1868760

What you think I rap for, to push a fvck!ng Rav-4?
 
Labda ngoja nikupe elimu ya bure fasta.SUV zipo aina nne ambazo ni:

1.Full size SUV:Mfano Prado,VX,V8.

2.Mid size SUV:Mfano Kluger,Vanguard,Harrier,Suzuki Escudo,etc

3.Crossovers SUV:Honda CR-V,RAV4,Subaru forester.

4.Mini SUV:Mfano Cami,Suzuki kei,Suzuki Swift,Terrois kid.

Prado ni full size SUV wakati akina Kluger na Vanguard ni mid size.Kwa hiyo ni makosa kulinganisha SUV ambazo ni full size pamoja na Mid size au crossovers.

Kumbuka katika mtiririko huo hapo juu ubora wa gari unapungua jinsi unavyoshuka chini,yaani SUV za full size ni nzuri zaidi kuliko SUV za mid size.How come sasa unalinganisha Prado ambayo ipo class A(Full size SUV) na Subaru forester ambayo ipo class C(Crossovers)?!Kwa hiyo hapo Prado ndiyo gari bora kuliko zote ulizotaja hapo.
Akishindwa kupata ushauri huu basi tena jamaa atapotea...
Prado ndiyo mpango mzima
 
kwa kuongezea tu japo tyl ushapewa tips muhmu hmna gari inayotengenezwa special kwa kuhimili shida da way gari unaifanyia kaz ktk mazngira magumu ndivyo inataliwa uwe proper ktk fanya maintainance on time nje ya hapo hata izo gari unapewa sifa zake ikiwa out of timed service utajutia uhamuzi wako na ushauri pia but for mid income earner go for rav-4 zile model ya nyuma kdgo achana na zile miss tz utakuwa salama ila kama hela ipo nenda kwa proper SUV
 
Je waweza kutupatia siri moja ya kwanini unapenda zaidi subaru na sio aina zingine za magari?

Nina hakika kuna kitu cha ziada ambacho wengi hatujui kuhusu subaru.

Ahsante
kwa ufupi sanaaa n gari yangu ya 3 na ndipo nikaona nmepata kitu sahihi nilichokuwa nahitaji kutokana na passion angu ya magari

first: Confetabilityand stability ktk high speed

sec: Easy to advance kuanzia muonekano hadi performance wize

third: iko favour sanaa ktk fuel economy kulingana na trip zangu

lastly: for stunt iko poa sanaa

but i like sport car indeed.
 
Back
Top Bottom