Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Habari zenu wadau
Mimi ni mgeni kwenye hii biashara,naomba ushauri wa uzoefu kuhusu jambo moja,utachukua hatua gani endapo unapata mteja anataka kutoa hela kwenye akaunti yake,lakini anapokurushia wewe ili umpe cash,yeye anapata confirmation sms kutoka mtandao husika lakini wewe wakala hupati,utampa pesa au utamwambia asubiri upate sms hiyo?
Mimi ni mgeni kwenye hii biashara,naomba ushauri wa uzoefu kuhusu jambo moja,utachukua hatua gani endapo unapata mteja anataka kutoa hela kwenye akaunti yake,lakini anapokurushia wewe ili umpe cash,yeye anapata confirmation sms kutoka mtandao husika lakini wewe wakala hupati,utampa pesa au utamwambia asubiri upate sms hiyo?