Kaka jambazi 9
Member
- Jun 6, 2019
- 12
- 3
Jaman naombeni msaada na ushauri pia mm ni muhitimu wa kidto cha sita 2021 na nimepata dvsion 1ya 9 nataka kusomea sheria UDSM au Mzumbe je inawezekana?
Jaman naombeni msaada na ushauri pia mm ni muhitimu wa kidto cha sita 2021 na nimepata dvsion 1ya 9 ntka kusomea sheria udsm au mzumbe je inawezekana ?
Hili jina tu aiseee me naomba msaadaUjambazi lini unaacha!??? Tuanzie hapo kwanza ndugu Kaka jambazi 9
Aah nashukuru ila nimeangalia ika kuna watu wananiambia UD wanataka one ya Saba kusomea sheriaKachukue tcu guide book angalia requirements za hiyo course kama unazo basi inawezekana sema kwahiyo DIV I inawezekana tu jombaa
Anhaa sawa nashkuruSheria nenda mzumbe nahisi patakufaa kuliko Udsm.