Kwa matokeo ya aina hii, CCM inajifuta yenyewe kama chama cha siasa.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
CCM inaelekea kuwa taasisi kama taasisi zingine za serikali zinazotegemea kila kitu kutoka serikali kuu, kuanzia kwenye, majengo, usafiri, nyumba za kuishi, kodi, mishahara, matibabu pengine hata unifomu wanapewa na serikali.

CCM inabweteka kwa kudhani matokeo haya ni juhudi za chama, wakati kihalisia ni juhudi za polisi, NEC, wakurugenzi, msajili, wakuu wa Wilaya na Mikoa.

Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliwahi kuwaasa CCM kuwa wasitegemee Polisi kushinda uchaguzi, wakumbuke serikali tuliyonayo si ya kudumu kuna siku itaondoka chama kitatakiwa kisimame kama chama kitashindwa hata kukimbia ama kuruka kama kuku wa kizungu aliyezoea kuletewa chakula bandani.

FB_IMG_1537333694394.jpg
 
Siasa ni mapambano, mbinu, ulaghai, mikakati na kujitolea kwaanjili ya wengi nk. Niwakati muafaka vyama vya siasa hususani chadema na Cuf kubadili mbinu ya kupambana na CCM cha kwanza kabisa kuondowa tofouti zao za ndani kuungana nakuanza kuikabili Ccm, la pili kua tayari kuteswa au kufa lkn mikutano ya siasa iendelee, waache kulalamika lalamika ili kupata huruma walete "action" iliwaweze kufunika media. Wazindue chama cha vugu vugu ya mabadiliko nk. Sasa hivi CCM ni laini kuliko wakati wowote hawana umoja tena viongozi wake wa sasa hawajui siasa ya vyama vingi ni wa baabe tu.
 
Back
Top Bottom