RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,474
Kwahio alikalia kimya uovu, nahuku akijua niuovu?. Kwa sababu yuko sehem ya Serikali ikabidi atulie, kwa mantiki hio unamaana hata wengine walioko ndani ya Serikali wapo wanweza kufanya vizuri Zaidi ya jiwe kwa sababu tu bado hawajapewa madaraka Kama ya jiwe?.Tafadhali kumbuka kuwa Jiwe kabla ya kuwa Rais alikuwa muda mrefu kama waziri au naibu hivyo alikuwa sehemu ya serikali asingeweza kupinga mwelekeo wa Rais aliyekuwa madarakani na haswa haswa wakati wenu na Vasco Dagama mlipoachia maliasili ya nchi iporwe na Waarabu na Wachina kwa faida yenu binafsi na familia zenu!