Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,403
- 31,382
Ndg Silinde , akiwa mbele ya altare kama si madhabahu ya sinagogi la wajumbe kabla ya kuadhibiwa
Ndg Silinde , akiwa mbele ya altare kama si madhabahu ya sinagogi la wajumbe kabla ya kuadhibiwa
Pozi lake linachekeshaNdg Silinde , akiwa mbele ya altare kama si madhabahu ya sinagogi la wajumbe kabla ya kuadhibiwa
Inachekesha na nadhani ni moja kati ya vituko vya ucahguziPozi lake linachekesha
Alijiona mkubwa kuliko chamaInachekesha na nadhani ni moja kati ya vituko vya ucahguzi
Yaani ukiangalia kwa makini hata angeambiwa aweke pembeni sarawili sidhani kama ilikuwa issue kwake
Mwenyewe katia kijani halafu nyeusi juu ya ngwasuma. Baada ya hapo goti altare ya sinagogi la wajumbe
Mwisho wa siku kaangukia pua upande wa kuume! damu zinabubujika mke wa kumfuta hayupo , wajumbe wameshakula chao na matokeo hayo!
Hakuwa na sababu ya kudhalilika alijua yeye ni Momba, hakujua umaarufu wake upo juu ya chama!
Huko tweeter mkewe ame ''left'' lol
Alidhani yeye ndiye chama. Huyu at least ameosha tongo tongo, kinachosikitisha eti alishauriwa na Lijualikali ambaye sote tunajua elimu hakuna waaasi chama wakisaidiwa na NdugaiAlijiona mkubwa kuliko chama
Halafu mkuu naye ana akili.Alidhani yeye ndiye chama. Huyu at least ameosha tongo tongo, kinachosikitisha eti alishauriwa na Lijualikali ambaye sote tunajua elimu hakuna waaasi chama wakisaidiwa na Ndugai
Waliahidiwa mafao yao wakikomaa na kutukana chama chao.
Siku alipokutana na wajumbe hakuna kiongozi wa Bunge aliyekuwepo, ndipo hapo unamuona ameegesha tumbo juu ya ngawasuma zake akiwalilia wajumbe. Hawakufanya kosa, walimtenda pamoja na sala yake juu ya altare la wajumbe
Huyu hata akiteuliwa kuwa RC au DC , watu wataogopa mamlaka yake si yeye, pembeni watamdharau sana
Hiyo picha tu ukiinyanyua inatosha kabisa kumweleza ni nani. Amejidhalilisha na familia yake sana tu.
Ahh saint bwana! hivi ukimaliza kutumia toilet si unatupa mahali pake! haina thamani tenaHalafu mkuu naye ana akili.Hawa hamahama wametemwa wote.
Picha hii inaonyesha Silinde akiwa juu ya magoti yake mwenyewe akiisubiri sakrament kutoka kwa wajumbe. Hii ni muda mfupi kabla ya wajumbe hawajafanya yao.
Huyu silinde alikuwa jeuri huyo.Ahh saint bwana! hivi ukimaliza kutumia toilet si unatupa mahali pake! haina thamani tena
Mkuu alifanya vile lakini wana CCM iliwakera sana. Yaani mtu anafia chama halafu muunga juhudi anakuja na ulaji hapo hapo! Kijani hasa wajumbe wakasema 'hatuwajui''
Kuna katuni moja ya masoud Kipanya inaonyesha wamelambwa 'nyembe' wote na mmoja aliyebaki ni majeruhi , yule Dr wa K'njaro. Huyo wananchi wa Kilimanjaro watamaliza kazi.
Madiwani dah, ni vichwa tu kama dagaa! wajumbe hawaangali unatubu au umesimama juu ya ngwasuma
Kuna matokeo yametia raha saan, Silinde na Nassari. Hawa wameonyesha umma kuwa akili si uji uliojazwa kichwani, ni kiungo kinachotumika katika fikra.
Picha ya kuunga juhudi inayotumika sasa ni ya Silinde!
Hapa si suala la chama au ushabiki, ni suala la kueleza ukweli. Hawa watu wamekaa katika chama chao miaka 5 wakiwakilisha watu kumbe hawakuwa na mapenzi. Wameondoka baada ya masilahi halafu wanaunga mkono jitihada ili tu warudi bungeni.Huyu silinde alikuwa jeuri huyo.
Mimi si mwana chadema ila kwa jeuri aliyokuwa nayo sijaamini kama ndiyo yeye huyo amechutama kupiga magoti