Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,743
- 10,073
wakuu heshima zenu!
naombeni ushauri wenu. ndugu yangu kakwaa division four poinnt 18 akiwa na ESF ya PCB.
swali : je anaweza kusomea diploma ya udaktari? yeye mwenyewe anapenda kusomea muhimbili. je itawezekana kuchaguliwa kwa score hizi ?
je kuna vyuo vingine ambavyo vinaweza kumkubali ?
naombeni ushauri wenu. ndugu yangu kakwaa division four poinnt 18 akiwa na ESF ya PCB.
swali : je anaweza kusomea diploma ya udaktari? yeye mwenyewe anapenda kusomea muhimbili. je itawezekana kuchaguliwa kwa score hizi ?
je kuna vyuo vingine ambavyo vinaweza kumkubali ?