Kwa matokeo haya, mdogo wangu aombe kozi gani ya afya?

GanaJr

Senior Member
May 26, 2020
109
172
Kuna mdogo Wangu wa kike kamaliza form six mwaka huu na kupata division two ya point 10 kwa combination ya PCB.

Kwa Hali iliyopo sasa hivi pamoja na competition kubwa kwa kozi za afya hasa udaktari naombeni mnishauri aombe kozi gani ya afya ili aepuke kutemwa kwenye raundi ya kwanza ya kuomba vyuo.

Matokeo yake ni Kama ifuatavyo
Physics D
Chemistry C
Biology C

Naomba mnisaidie na kupendekeza vyuo vya kuomba kabisa ili Leo hii dogo aanze kufanya mchakato wa kuomba.

Karibuni sana wakuu wangu.
 
Kwana hongera kwa mdogo wako, pili kuna kitabu yaan "Guard book " anaweza kupitia kujua hizo mambo zote unazoulizia
Nashauri aanze na Bugando
 
II.10 PCB, si mchezo,
Misitu sua,
BVM sua,
Bachelor of Chemistry,
Biotechnology and laboratory,
Mwaka huu hata MD ana pata, cutting point ni 6.
Ngoja waje wadau, wengine.
 
II.10 PCB, si mchezo,
Misitu sua,
BVM sua,
Bachelor of Chemistry,
Biotechnology and laboratory,
Mwaka huu hata MD ana pata, cutting point ni 6.
Ngoja waje wadau, wengine.
Asante sana mkuu wangu.
 
Hongera sana, dogo kafanya vizuri:

Kozi: Udaktari, Famasia, Uuguzi(Bsc in Nursing) na hizo zilizotajwa hapo juu na watoa hoja.

Muhimu: Chuo atachochagua.

Asiguse vyuo vifuatavyo katika Udaktari na Famasia: Muhimbili (MUHAS), Mlimani (University of Dsm), Dodoma. Hivyo avisahau.

Vyuo vya kuchagua: KCMC, Bugando, Kairuki( angalia kwanza mfuko wako, ada ni milioni 7/mwaka).

Kila la heri.
 
Million 7
Hongera sana, dogo kafanya vizuri:

Kozi: Udaktari, Famasia, Uuguzi(Bsc in Nursing) na hizo zilizotajwa hapo juu na watoa hoja.

Muhimu: Chuo atachochagua.

Asiguse vyuo vifuatavyo katika Udaktari na Famasia: Muhimbili (MUHAS), Mlimani (University of Dsm), Dodoma. Hivyo avisahau.

Vyuo vya kuchagua: KCMC, Bugando, Kairuki( angalia kwanza mfuko wako, ada ni milioni 7/mwaka).

Kila la heri.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom