Future neural surgeon
Member
- Apr 29, 2020
- 41
- 23
Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nina ndugu yangu alimaliza mwaka jana kidato cha sita mchepuo wa PCB na akapata matokeo ya dvn three point 13 akiwa na physics-E , Chemistry-D , Biology-D , BAM- F , GS -E.
Yeye alitamani kozi zifuatazo:
Bachelor of science in human nutrition
Bachelor of science in agricultural general
Bachelor of science in animal science
Bachelor of science in Biotechnology and laboratory science
Bachelor of science in bee resource management
Bachelor of science in food science and technology
Bachelor of science in veterinary medicine
Na je katika izo koz ni ipi ni nzur zaid kwa upande wa kujiajiri.
Nawasilisha wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nina ndugu yangu alimaliza mwaka jana kidato cha sita mchepuo wa PCB na akapata matokeo ya dvn three point 13 akiwa na physics-E , Chemistry-D , Biology-D , BAM- F , GS -E.
Yeye alitamani kozi zifuatazo:
Bachelor of science in human nutrition
Bachelor of science in agricultural general
Bachelor of science in animal science
Bachelor of science in Biotechnology and laboratory science
Bachelor of science in bee resource management
Bachelor of science in food science and technology
Bachelor of science in veterinary medicine
Na je katika izo koz ni ipi ni nzur zaid kwa upande wa kujiajiri.
Nawasilisha wakuu!