Mbagala stendi
JF-Expert Member
- Nov 8, 2020
- 289
- 266
Hila angekuwa na C ya biology au juu ya apo ingekuwa possibility kupata hila D hiyo ina mwangusha MD siku hizi competition sana haijalishi private au government universities.
Mwambie aombe KCMC na Bungando hawezi kosa. Cha msingi aombe maana inategemea na ushindani.Kwa matokeo haya anaweza kupata medicine?
Division one ya 9
G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'B' CHEMISTRY - 'C' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'
Kuomba sio dhambi, aombe maana hawezi jua hali ya ushindani.Anapata ila asiombe muhas au udom aombe kcmc,bugando ,kairuki nk akiwa mbishi inakula kwake
Kwa matokeo haya anaweza kupata medicine?
Division one ya 9
G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'B' CHEMISTRY - 'C' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'
Anyways, kumbe siku hizi kuna ushindani sana ni madogo wanafaulu sana au nini?Kwa matokeo haya anaweza kupata medicine?
Division one ya 9
G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'B' CHEMISTRY - 'C' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'
Buomedical Degree yake wanatoa muhas na mwaka jana wamechukua mwisho I-5Yes
Zipo nyingi
Chemical Processing
Biomedical Engener
Yes unapata Hurbert Kairuki 7M ada,Pia Kcmc kwa connection unaingia ninamwanangu Hapo aliopata hvyo last year yupo hapoKwa matokeo haya anaweza kupata medicine?
Division one ya 9
G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'B' CHEMISTRY - 'C' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'
Hawajui kuhusu Pharmacy halafu Wakija Chuoni kama Muhas wanajuta kwa nn hawakuendaHuu utaratibu wa kila aliesoma PCB kufikiria fani ya kipaumbele kusoma ni Medicine TU.
Inabidi ifikie mahali ufe
T.O wa mwaka Huu ana B YA gSHivi siku hizi G/S na BAM kuna hadi C, enzi zetu ilikua G/S na BAM ni mwendo wa subsidiary tu so its either upige S or F basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya chalii bello mwanangu Its Los hapaBuomedical Degree yake wanatoa muhas na mwaka jana wamechukua mwisho I-5
Mhhh basi shughuli kuna dogo ana two alitaraji ku apply hiyoBuomedical Degree yake wanatoa muhas na mwaka jana wamechukua mwisho I-5
Kasome muongozo wa TCU kwa hiyo courseKwa matokeo haya anaweza kupata medicine?
Division one ya 9
G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'B' CHEMISTRY - 'C' BIOLOGY - 'D' BAM - 'C'
DIT MUST nadhan hata ARUSHA pale technical wanatoa hii koziBuomedical Degree yake wanatoa muhas na mwaka jana wamechukua mwisho I-5
hizo za MUST na DIT ni fekiDIT MUST nadhan hata ARUSHA pale technical wanatoa hii kozi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app